Ni wazo zuri ila sio habari za kuelimisha tu hata za kufurahisha na burudisha nayo ni kazi ya riwaya pia
Watu hawajui ni maana ya fasihi na nini? lengo lake katika jamii.
Habari zenu,nimekuwa msomaji wa habari nyingi za member katika jukwaa hili.Nimeona member ambao wanatuma habari zinazofundisha na ushauri mzuri.Lakini kuna baadhi ya member wamekuwa wakituma Habari zisizoelimisha ila zimekuwa za kuharibu jukwaa.Wengine kama Mimi napenda kusoma Habari humu MMU kwani zinanifundisha mengi.Hivyo sasa wana MMU tufanyaje tufanye jukwaa letu liwe na habari zinazoelimisha na ushauri katika mahusiano na mapenzi na sio habari za kutunga.Tushauriane na sio kutukana.
Fasihi inafundishwa darasa la saba?
Amazing....
Usitake mfano Tushauriane sisi ni watu wazima tunaelewa
Siku hizi MMU = Jokes/utani+udaku/gossips
ukitaka leta habari za uongo usipotaka kuwa mchangiaji kama wengi wetu.....tusilaumiane tu tukielezana ukweli.....
Naanza Na Huyu Jamaa Galadudu Aka SUPU YA MAWE Wengne Nanyie Watajeni
Wewe, galadudu,escrow account, issa ramadhan,supu ya nawe etc