Tushauriane wana MMU

Tushauriane wana MMU

Bwana MO11 watu wenye tabia kama yangu tunatakiwa kuunda mikakati mikali ya watu kama hao kuwapuuza kwa taaratibu zifuatazo.
1, ukiona thread yake usikomenti chochote tunamuaacha anapita thread yake yakipuuzi, kwa sababu gani nasema hivyo
kukomenti maoni ya aina yoyote iwe kejeli, dharau, ua maon
kunaifanya thread kubaki front page, nakuziba thread zingine zakujenga.

2, watu kama hao kutochangia chochote kwenye thread zao kutawafanya washituke nakujiona kama wanadhaurika kwa kuupuzwa thread zao za matope?

3, kama ukiona huyo mtu tabia yake inakukuela sana. kuna kitufe cha ignore list, unakibonyeza katika id yake.
hii itakusaidia sana kutoona mandishi yake ya aina yoyote

cc Sweetheart Polisi jamii Shake Money

Hapo nimekuelewa ushauri mzuri
 
Last edited by a moderator:
Tupunguze Tu Maneno Machafu Lakin Comment Za Kufurahisha N Muhmu, Huwez Kuongea Point Na Usome Point Tupu Tutakua Stresd, Na Kama Bas Hupend Ni Vema Ukasome Huko Kwa Bible Na Siasa Tupu,
 
Bwana MO11 watu wenye tabia kama yangu tunatakiwa kuunda mikakati mikali ya watu kama hao kuwapuuza kwa taaratibu zifuatazo.
1, ukiona thread yake usikomenti chochote tunamuaacha anapita thread yake yakipuuzi, kwa sababu gani nasema hivyo
kukomenti maoni ya aina yoyote iwe kejeli, dharau, ua maon
kunaifanya thread kubaki front page, nakuziba thread zingine zakujenga.

2, watu kama hao kutochangia chochote kwenye thread zao kutawafanya washituke nakujiona kama wanadhaurika kwa kuupuzwa thread zao za matope?

3, kama ukiona huyo mtu tabia yake inakukuela sana. kuna kitufe cha ignore list, unakibonyeza katika id yake.
hii itakusaidia sana kutoona mandishi yake ya aina yoyote

cc Sweetheart Polisi jamii Shake Money

Do you have any critical thought for calling me??

Btw, your arguements are very light.....

Changes should begin with you shy man...
 
Tupunguze Tu Maneno Machafu Lakin Comment Za Kufurahisha N Muhmu, Huwez Kuongea Point Na Usome Point Tupu Tutakua Stresd, Na Kama Bas Hupend Ni Vema Ukasome Huko Kwa Bible Na Siasa Tupu,

kila mtu mwenye akili katika ubongo wake lazima asome hapa nakuyafanyia kazi.
 
Yani umenichekesha balaaa

unacheka, subiri nikuambie kitu ambacho hukiju kuhusu mimi.

hakuna kitu kizuri hapa dunian kama furaha, na watu wote unaowana wanafanya kazi au shughuli yoyote, lengo lao kuu ni kuisaka furaha.

mimi huwanga nafurahi sana kuona watu wanahaha na kukeleka sababu ameona komenti baya jf.

unamkuta mtu ameandika ameuzika sana, basi watu kama hao ni furaha kwangu.
 
unacheka, subiri nikuambie kitu ambacho hukiju kuhusu mimi.

hakuna kitu kizuri hapa dunian kama furaha, na watu wote unaowana wanafanya kazi au shughuli yoyote, lengo lao kuu ni kuisaka furaha.

mimi huwanga nafurahi sana kuona watu wanahaha na kukeleka sababu ameona komenti baya jf.

unamkuta mtu ameandika ameuzika sana, basi watu kama hao ni furaha kwangu.

Sasa mbona kama sijakuelewa?Sasa kipi hapo kipya?
 
Nafuata sheria za Jf

unajua sheria wewe ??
sheria gani nimevunja ??
Tatizo letu watanzania hatuwezi kuhandle the truth ndio maana tunadanganywa danganywa ukiambiwa ukweli umevunja sheria isiyojulikana
 
unajua sheria wewe ??
sheria gani nimevunja ??
Tatizo letu watanzania hatuwezi kuhandle the truth ndio maana tunadanganywa danganywa ukiambiwa ukweli umevunja sheria isiyojulikana

Achana naye hajitambui, mtu kusema ukweli amevuja sheria?

shatapu taipu kabisa
 
Back
Top Bottom