TUSHAURIANE VIFURUSHI BOMBA KWA INTERNET

TUSHAURIANE VIFURUSHI BOMBA KWA INTERNET

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,377
Hello guys, Uhitaji wa internet unazidi kuwa mkubwa kadri siku zinavyosonga mbele, Kumekuwa na changamoto hivi karibuni ya kupata vifurushi vinavyokidhi thamani ya pesa (gharama nzuri + ubora wa spidi + uwepo wa internet bila kukatakata au kupungua spidi na kushuka).


Kwa sasa nawatumia halotel kifurushi cha GB 13 kwa wiki (Sawa na gb 1.8 kila siku) kwa 15,000/=, spidi wako poa sana + bei ipo realistic + hakunaga kukata kata interenet ama spidi kupungua.

Mbadala wangu ni ttcl uni offer kwa line niliyojisajili enzi nipo chuo, napewa mb 600 kwa masaa 24 kwa kulipia 500/=, spidi ipo njema 4g + internet ipo stable hakunaga kupungua spedd ama net kukatakata ila tu changamoto ni kwamba huu mtandao una maeneo yake.

Nimeacha kuwatumia vodacom kwasababu hakuna spidi(mkoani) na bei za vifurushi zimepanda.

TUJUZANE: JE WEWE UNATUMIA KIFURUSHI GANI
 
Mimi nanunua kifurushi cha UN cha 1000 napata 1gb airtel mtandao ni 3g, hapa kwetu hakuna mbadala.
 
Ttcl, gb 3 kwa 2500 kwa week 4g speed


Usiku gb 10 kwa 1000 4g spd


Kwangu ndio the best
 
TTCL boom park data only 5000 GB 5 per month hakuna kukatakata speed ya 4G
 
Hello guys, Uhitaji wa internet unazidi kuwa mkubwa kadri siku zinavyosonga mbele, Kumekuwa na changamoto hivi karibuni ya kupata vifurushi vinavyokidhi thamani ya pesa (gharama nzuri + ubora wa spidi + uwepo wa internet bila kukatakata au kupungua spidi na kushuka).


Kwa sasa nawatumia halotel kifurushi cha GB 13 kwa wiki (Sawa na gb 1.8 kila siku) kwa 15,000/=, spidi wako poa sana + bei ipo realistic + hakunaga kukata kata interenet ama spidi kupungua.

Mbadala wangu ni ttcl uni offer kwa line niliyojisajili enzi nipo chuo, napewa mb 600 kwa masaa 24 kwa kulipia 500/=, spidi ipo njema 4g + internet ipo stable hakunaga kupungua spedd ama net kukatakata ila tu changamoto ni kwamba huu mtandao una maeneo yake.

Nimeacha kuwatumia vodacom kwasababu hakuna spidi(mkoani) na bei za vifurushi zimepanda.

TUJUZANE: JE WEWE UNATUMIA KIFURUSHI GANI
Umelipia tangazo..
 
Back
Top Bottom