DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,497
- 99,296
Ni hivi,
Tangu tar 25 June niliachwa rasmi Tena kwa karaha na kublockiwa namba zote kila mtu ashike 50 zake NIKAKUBALI MATOKEO.
Leo jioni Nashangaa simu zake nyng ananipigia ila SIJAPOKEA HATA simu MOJA
Nilipoona usumbufu umezidi
Nikakata kabisa simu yake Kisha kuelekea nyumbani kwangu.
Sahv Nmetulia nyumbani nafungua sms
Nakuta analalamika kapoteza funguo zake na Hana pa kulala nimsaidie nimpatie funguo za nyumbani kwake za akiba nilizonazo Mimi kipind kabla hatujaachana.
AISEE duniani Kuna wanawake Hawana hata mshipa wa aibu
Ina maana huyu asingepoteza funguo zake ndo asingenitafuta tena au vipi?
Inamaana baada ya kupoteza funguo ndo kaamua kunitpa Kwny block au vipi?
Inamaana akishapewa funguo anarudi Tena kuniblock au vipi?
NINACHOFIKIRIA NI KUMUACHA APAMBANE NA HALI YAKE
Tangu tar 25 June niliachwa rasmi Tena kwa karaha na kublockiwa namba zote kila mtu ashike 50 zake NIKAKUBALI MATOKEO.
Leo jioni Nashangaa simu zake nyng ananipigia ila SIJAPOKEA HATA simu MOJA
Nilipoona usumbufu umezidi
Nikakata kabisa simu yake Kisha kuelekea nyumbani kwangu.
Sahv Nmetulia nyumbani nafungua sms
Nakuta analalamika kapoteza funguo zake na Hana pa kulala nimsaidie nimpatie funguo za nyumbani kwake za akiba nilizonazo Mimi kipind kabla hatujaachana.
AISEE duniani Kuna wanawake Hawana hata mshipa wa aibu
Ina maana huyu asingepoteza funguo zake ndo asingenitafuta tena au vipi?
Inamaana baada ya kupoteza funguo ndo kaamua kunitpa Kwny block au vipi?
Inamaana akishapewa funguo anarudi Tena kuniblock au vipi?
NINACHOFIKIRIA NI KUMUACHA APAMBANE NA HALI YAKE