TUSEMEZANE: Je ni kitu gani ndani ya maisha yako umekipa Kipaumbele zaidi ya afya yako?

Nimewaandikia watu wote wapate kusoma.Watanzania wengi leo afya is even not a secondary issue, wamekuwa ni watu ambao Wanazoea maradhi na kuwayachukulia maumivu mbalimbali ya mwili kama mambo marahisi na mepesi.

mwisho wa siku mtu anagutuka akiwa na afya mbaya sana, au tatizo limekuwa sugu kupita kiasi.

Precious Clinic inathamini afya ya kila mtu na kuamini afya is number one issue to be looked at.

Unaweza kuwa na kila kitu,lakini kama una afya nzuri wewe, au una mtu unauguza, kila kitu ulichonacho chaweza kuyeyuka.

Wanajamvi ni wakati muafaka sasa kuthamini afya zetu na kuzipa kipaumbele, ili kupunguza magonjwa sugu na premature death nk. Tujue umuhimu wa kuchunguza afya zetu kwa faida yetu wenyewe na taifa letu.

Yatupasa kukumbuka kuwa nguvu kazi nyingi inapotea leo,kwa sababu watu wengi hawana afya nzuri.[/QUOTE


NAKATAAAA! LUGHA HIYO SIO wote hapaaana, we una watu wako, na kiukweli kabisa hilo tangazo lako linafanana na wooote wale wa kwenye tv, magazet ya udaku, na matambala barabarani, hakuna jipya mnawaonea sana watu wa mungu kila siku tangazo na clinic hii mara ile jamani, ni pepo gani kawapata huyo, hapa dawa ni mazoezi na kunywa maji kwa wingi, ukizidiwa madawa yetu yale ya hospitali kama kawa, kila siku jamani? mbona wagonjwa wasiofikiri kwa kina watachoka kwa kusafiri, mara atoke kwa ndodi, aende fiterawa, mara kwa rahabu, uku kwa mwaka (mpya wa chanel 10) mara aenede huko mwanza jana nyt alikuwa star tv, mara kwako, na ukijulisha na ile safari ya kikombe cha babu nalile rundo na misurur yooote ya vikombe, acha watu wajitangazie wenyewe, mtu akipona ndo amwambie na mwenzake, sie wabush hata kwa ma local doctor ndio tuaminivyo.
 
Inaoneka mleta tangazo hili ame desa mahali na kulikopi moja kwa moja bila hata kutumia akili yake kubadilisha kidogo kwa mazingira ya kibongo ndiyo maana ametumia ileile lugha ya kiingereza ambayo mwandishi wa kwanza alilitoa! Plagiarism!!!!
 
Back
Top Bottom