Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
kama ambavyo inafahamika kwa vyuo vikuu vyetu course work ni 16 ikiwa chini ya hapo huwezi fanya mtihani lakini mwanachuo anaruhusiwa kuomba assgniment au seminar,swali langu ni kua lecture anaweza kugoma kutoa assgnment au semina??