Tusaidiane hapa

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,051
Habari wana jukwaa,

Ni matumani yangu mnaendelea vyema na kila mmoja kwa nafasi yake anautafuta mkate wa siku. Kuna jambo nimejaribu kulifikiria kwa muda na nimeona tushirikiane kwani kuna watu wenye uelewa tofauti na uzoefu kimaisha ambao siku zote wamekua na mchango chanya kwenye maisha ya wengi na kuonyesha angalau njia sahihi yakuelekea.

Kuna aina tofauti ya wasichana ambao wako karibu na mimi na kwa namna moja moja au nyingine naweza kumfanya mmoja wao kua mke (Mungu akipenda) nimejaribu kuwalinganisha kuangalia strength na weakness zao kuona ni nani anafaa zaidi (kwa macho yakibinadam) ila bado sijafika kwenye conclusion na hivyo baada ya michango ni hakika naweza kutoka na hitimisho.

Girl One
Ni msichana mrembo tuu, ni dini moja na yangu (means hana complication za kubadili dini),ni msomi ngazi ya chuo kikuu, ana moyo wa huruma(she is kind), anaijali familia yangu (when it comes to my family anakua na sympathy sana). Ananifahamu vilivyo (nimekua nae kwenye mahusiano zaidi ya miaka miwili na nusu)
Ilabaada yakuachana nae kila mmoja alishika hamsini zake na baadae nikaja kujua amejifungua mwaka jana mwshoni( ana mtoto ambae sio wangu) sioni kama kua na mtoto ni ishu saana we can fix tht.

Tatizo ambalo hua linakosesha amani kwake ata enzi tukiwa wapenzi ni kua na siri siri nyingi sanaaa,yaani she is always on something secretely,kwa ufupi huwa si muwazi na mambo yake. Kwa sasa sina mapenzi nae (labda nianze kudevelop interests upyaa) ingawa kwa yeye anasisitiza ananipenda na anatamani niwe mme wake coz ata aliezaa nae yupo nje ya nchi na hanaga mda nae(madai yake).

Girl Two
Kama wa mwanzo uyu pia ni dini moja na mm ni msomi nae kwa ngazi ya chuo kikuu, uyu hua nam appreciate kwa logical argument (upstairs kuna afya yakutosha), pia she is concerned na familia yangu ni mwajiriwa serikalini.
Ila ana kiburi (ni kichwa ngumu,nakumbuka we broke up at first place kwa sababu hatukua tunakubaliana mambo mengi), mara ya mwisho tulionana Dar mwezi wa 2 then baada ya kurudi mkoani nikawa nimemboa hajawahi kujib txt wala kupokea cm yangu tangu apo mpk leo ingawa i still cal her and txt her amlost everday coz naamini ni nimiongoni mwa wasichana ambao nadhani naweza kufanya nao maisha. Ana mapungufu mengine ila niyakawaida yanatatulika in a long run.

Girl Three
Kama wapili nae tupo dini moja,ni msomi nae kwa ngazi ya chuo kikuu,sijawahi kua na mahusiano nae ila aliwahi kuniambia wiki kadhaa zilizoisha that she appreciates me so much anatamani sana niwe mme wake (tunafahamiana for like 4 years back alikua anasoma na mdogo angu) ni mwajiriwa serikalini ana maadili ya dini.

Ila wa kwanza sijawahi kumpenda hivyo kama ntaamua kua nae i have to learn to,,ni bonge flani iv (kiukweli hua napendelea saiz yakati(emergin akijifungua c anakua nyumba(haha joikin)Kuna siku nilikua napiga nae stori akaniambia yupo kwenye mahusiano na jamaa ambae ni dini tofauti na hawana future so nikiwa tayari atamuacha jamaa na kuja mwangu (keep note, they are in relationship for 3 years now).

Girl Four
Uyu ni binti mrembo sana,amepanda hewani,rangi ya chungwa,nguvu zakike zakutosha kabisa.She is vargin (nakumbuka kuna siku we had privacy katika kurupushani nikagundua ivo, nilisitisha zoezi coz sikua na uhakika kama naweza kua future wake na sijawah kuomba tena game we only do romance).Uyu binti bado hajawa exposed na maisha ndo kwanzaa amemaliza form IV and she is just 18.

Ila tangu nimeanzisha mahusiano nae sijaona tatizo lakutisha ni vitu vidogo vidogo ambavyo they van be fixed,Ila nachokiona ni kua I have to wait a damn long way kumkeep ili badae awe mke (keep note am 25 by now)

Zingatia
Msichana wa kwanza na wapili nimewahi kua na mahusiano nao, wa tatu sijawahi ila tuko karibu na wanne ndo wanjera wa saizi.


Nawasilisha
 
.........
 
Kuna imani unaruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja inakufaa sana.
 
kwa wingi huo wa wadada hutoweza kupata mke wa dhati ukipata mungu anitoe roho
 
Kwanza punguza umalaya mbona galz wa 4 ni wengi sana? utakufa mkuu

Apo am dating only one gal ao wengine ni x's na uyo mmoja we never dated but she is interested
 
Acha sofa za kijinga,unashindana Nazi wakati ndio zimekuleta duniani?!tulizana,ukimwi upo,.
 
kwa wingi huo wa wadada hutoweza kupata mke wa dhati ukipata mungu anitoe roho

Haaa mkuu utajafa kabla ya ck zako buree,,,,ts better ukashauri au kama huna ushauri u lay low
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…