meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
Tuwapongeze ccm kwa kutusikiliza wananchi kwani wamejaribu kukwepa kihunzi cha kuwa na mgombea mwenye tuhuma za ufisadi zilizoanzishwa na CHADEMA na kuratibiwa na CCM kiasi cha kuchukua hatua stahiki japo sio tosheleza.
Tuliwahi kusema humu kwamba agenda kuu ya uchaguzi mwaka huu ni ufisadi.
CCM ilisikiliza maoni yetu na ikaamua kuwa smart kwa kumtosa fisadi aliyetajwatajwa sana,lakini CCM ilifikiria mbali zaidi kwani waliyemuweka sio kwamba anakosa tuhuma za ufisadi ingawa ni kwa kiwango cha kuvumiliwa na watanzania(sio sehemu ya list of shame)
CCM imekuwa smart kwa kumteua yule anayewakosha wananchi ndani ya chama kilichojaa mizigo.
CCM wamekuwa smart kwa kujaribu kumteua mwanamama lakini ilishindikana kutokana na vurugu za kukatana.
CCM au niseme JK alitaka kumuweka mwanamama kwani waliamini na wanaendelea kuamini kuwa wapiga kura wengi ni wanamama!
Kuna jambo mastrategists wa CCM walilisahau kuhusu wapiga kura wa mwaka huu wengi wao ni vijana wa kike(sio kinamama) na wakiume.
UJANA ni turufu mwaka huu.hata EL alisupportiwa sana na vijana wa dotcom pengine kupitia mwanawe kuliko wazee kama kina kingunge.
CCM wamejaribu kuitumia turufu ya jinsia ya kike lakini haijakidhi haja ya wapiga kura especially wa bara.
kama mwanamama angetokea bara basi ingekuwa kuna unafuu lakini mwamamama huyu sidhani kama amekidhi haja ya kina mama wa bara na haiwezekani kuteka wasichana wa bara mithili ya kina wema sepetu,jokate,Mange,salama wa EATV na Mboni!
Kwa hiyo hii ni fursa rasmi kwa UKAWA kuja na suprise ya KIJANA....tena kijana anayefit kwenye ile ajenda waliojaribu ccm kuifanyia kazi...ajenda ya UFISADI.
Bado namuona Tundu Lissu ni right candidate for CHADEMA au UKAWA.
KARIBUNI JAMVINI!!
Tuliwahi kusema humu kwamba agenda kuu ya uchaguzi mwaka huu ni ufisadi.
CCM ilisikiliza maoni yetu na ikaamua kuwa smart kwa kumtosa fisadi aliyetajwatajwa sana,lakini CCM ilifikiria mbali zaidi kwani waliyemuweka sio kwamba anakosa tuhuma za ufisadi ingawa ni kwa kiwango cha kuvumiliwa na watanzania(sio sehemu ya list of shame)
CCM imekuwa smart kwa kumteua yule anayewakosha wananchi ndani ya chama kilichojaa mizigo.
CCM wamekuwa smart kwa kujaribu kumteua mwanamama lakini ilishindikana kutokana na vurugu za kukatana.
CCM au niseme JK alitaka kumuweka mwanamama kwani waliamini na wanaendelea kuamini kuwa wapiga kura wengi ni wanamama!
Kuna jambo mastrategists wa CCM walilisahau kuhusu wapiga kura wa mwaka huu wengi wao ni vijana wa kike(sio kinamama) na wakiume.
UJANA ni turufu mwaka huu.hata EL alisupportiwa sana na vijana wa dotcom pengine kupitia mwanawe kuliko wazee kama kina kingunge.
CCM wamejaribu kuitumia turufu ya jinsia ya kike lakini haijakidhi haja ya wapiga kura especially wa bara.
kama mwanamama angetokea bara basi ingekuwa kuna unafuu lakini mwamamama huyu sidhani kama amekidhi haja ya kina mama wa bara na haiwezekani kuteka wasichana wa bara mithili ya kina wema sepetu,jokate,Mange,salama wa EATV na Mboni!
Kwa hiyo hii ni fursa rasmi kwa UKAWA kuja na suprise ya KIJANA....tena kijana anayefit kwenye ile ajenda waliojaribu ccm kuifanyia kazi...ajenda ya UFISADI.
Bado namuona Tundu Lissu ni right candidate for CHADEMA au UKAWA.
KARIBUNI JAMVINI!!