Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 709
- 634
Ipuuzeni taarifa hii ya uzushi iliyotengenezwa na wahalifu.
Tunawasisitiza Watanzania kuendelea kufuatilia taarifa kutoka kwenye vyanzo rasmi ikiwemo tovuti ya Idara ya Habari-MAELEZO(www.maelezo.go.tz) na akaunti za Idara ya Habari-MAELEZO kwenye mitandao ya kijamii (Msemaji Mkuu wa Serikali au Maelezo News).
Tunawasisitiza Watanzania kuendelea kufuatilia taarifa kutoka kwenye vyanzo rasmi ikiwemo tovuti ya Idara ya Habari-MAELEZO(www.maelezo.go.tz) na akaunti za Idara ya Habari-MAELEZO kwenye mitandao ya kijamii (Msemaji Mkuu wa Serikali au Maelezo News).