Acha waendelee kuwasakama na kuwasimanga huku wakitujazia ma paragraph huko nyuma ya keyboard.
Lakini ukija kwenye maisha halisi huku kitaa,,, yaani kila mmoja ana li single maza lake na kama hana analitafuta li single maza lenye chenji zake mjini.
Na ma single maza Wana akili ukikaa nae lazima wewe ndio utaumia ni eiza uwe sex machine kwake na ulee mtoto wake ufaidi vichange vyake.
Na kama single maza hana uwezo basi atafaidi vi hela vyako huku ukimlelea mtoto bila kusahau kazi yako kuu sex machine ya kumridhisha na kufanya anavyotaka.
Maelezo yote hayo lakini single maza hana cha kupoteza Wala hasara kwako wewe hawara na minyegeko yako.
niazime😂 ukiutaka uchawi wangu niambie nikuazime
NakaziaKuna phaller atakuja kukwambia haiombwi hivyo
Huwaoni??? Halafu kama umetokea sehemu wanayojiuza ni lazima ufikirie kila mtu anajiuza.Kumbe Kuna wanaume wanajiuza? Sisi hatuitaji fedha zao, wewe unayejiuza kwao endelea
Uvivu tu wa kuiomba 🤣niazime
Nakazia
Mbona mimi ulinipa??Kuna phaller atakuja kukwambia haiombwi hivyo
we mbona unautumia..?Uvivu tu wa kuiomba 🤣
😂😂😂 niache basiwe mbona unautumia..?
mpaka utoe leo sikuachi...😂😂😂 niache basi
sina tatizo nao nawaheshimu na kuwapenda sanaNgoja singo maza Miss Natafuta aje kukupa pongezi kwa kuwatetea
kumbuka na wewe unazaa,siku mwanao anakuwa singo maza,na yeye apigwe hicho kitu?Singo maza piga pumbu sepa,sio wa kuoa kabisa
ndio nawasifia hapa:Na wewe wasifie, sisi tumejikita kusema experience na uzoefu wetu na wao
Ni kwakuwa huyo singo maza hawezi kuja hapa kujiteteaMimi ninajirani singlemother.Alianza kunitega ili nimtongoze lakini Mimi nilimkwepa.Toka nimkwepe alinichukia nikamwambia usiniletee chuki za kipumbavu na ipo siku nitakutandika makofu.Mimi sirudii makombo Mimi.Toka nimwambie hivo akanichukia akawa hanisalimii na Mimi Nikawa simsalimii na maisha yanaendelea.Hii imenifanya niwachukie sana Hawa masinglemothers
kumbe?Mkuu wewe tu ndo umepata hizo hisia kwamba wanasakamwa lakini wao wala hawajali hizi kelele zetu, wanaendelea tu na mishe Zao kulea watoto wao
AKA Simp 😃Tulia wewe baba wa kambo, wewe lea hilo toto la mwanaume mwenzio siku huyo single mother akijipata au wewe ukiishiwa hivyo vichenji vyako, anakupiga chini kisha anaenda kutafuta fala mwingine wa aina yako wa kumsaidia kulea mtoto wake huku malipo yake yakiwa ni mbususu tu...
ndio nawasifia hapa:
1.wana maumbo mazuri yaliyopevuka
2.wanajua hardware na software ya mapenzi
3.wanajua maisha na uvumilivu wao ni mkubwa sana
4.wanajua jinsi ya kuvumilia shida
eti lisingo maza,wewe linanihii tu,hii ni lugha ya dharau sana kwaoAcha waendelee kuwasakama na kuwasimanga huku wakitujazia ma paragraph huko nyuma ya keyboard.
Lakini ukija kwenye maisha halisi huku kitaa,,, yaani kila mmoja ana li single maza lake na kama hana analitafuta li single maza lenye chenji zake mjini.
Na ma single maza Wana akili ukikaa nae lazima wewe ndio utaumia ni eiza uwe sex machine kwake na ulee mtoto wake ufaidi vichange vyake.
Na kama single maza hana uwezo basi atafaidi vi hela vyako huku ukimlelea mtoto bila kusahau kazi yako kuu sex machine ya kumridhisha na kufanya anavyotaka.
Maelezo yote hayo lakini single maza hana cha kupoteza Wala hasara kwako wewe hawara na minyegeko yako.