Wana JF,
Mtazamo wangu upo sawa na Warioba kuwa deni la Dowanskuwa lipo kisheria na haliepukiki. Mi nadhani hapa ni kutumia maandamano kuilazimisha serikali kuwataja watu wote waliohusika kutuingiza katika sakata hili la tokea Richmond hadi dowans. Wapatikane na wachukuliwe hatua kali ikiwa mujawapo ni kufilisiwa. Nadhani kupatikana au kujulikana kwa watu hawa kutamaliza hasira za walio wengi mmoja wapo ni mimi.
Au wana JF mnasemaje?
Mtazamo wangu upo sawa na Warioba kuwa deni la Dowanskuwa lipo kisheria na haliepukiki. Mi nadhani hapa ni kutumia maandamano kuilazimisha serikali kuwataja watu wote waliohusika kutuingiza katika sakata hili la tokea Richmond hadi dowans. Wapatikane na wachukuliwe hatua kali ikiwa mujawapo ni kufilisiwa. Nadhani kupatikana au kujulikana kwa watu hawa kutamaliza hasira za walio wengi mmoja wapo ni mimi.
Au wana JF mnasemaje?