MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,450
aahhha hahha,Yericko aliwahi kutafuta sealed papuchi mkuu?Ya kununua mkuu,uzi wake uko humu Jf .
aahhha hahha,Yericko aliwahi kutafuta sealed papuchi mkuu?Ya kununua mkuu,uzi wake uko humu Jf .
Uko sahihi mdau, mana hata mimi ninavyojua General Karegeya kifo chake kilitokana na kunyongwa shingo yake na shuka, na tena haijulikani hilo shuka kama alijinyonga au alinyongwa.Sio kweli.. Wala haikuwa hivyo. mambo mengi yamepotoshwa hapo.. Yericko Nyerere ulitakiwa kufanya research ya kutosha kabla hujaandika kuhusu kisa cha Karegeya
Kweli kabisa, in addition tu that huyo Appollo anaemtaja kama Kanali wa jeshi, sio kanali wala hajawahi kuwa mwanajeshi ila ni mtoto wa mjini pale kigali na mpiga dili maarufu Kigali - Bujumbura..Uko sahihi mdau, mana hata mimi ninavyojua General Karegeya kifo chake kilitokana na kunyongwa shingo yake na shuka, na tena haijulikani hilo shuka kama alijinyonga au alinyongwa.
Kwa hiyo anachosema yeriko Nyerere kwamba General Karegeya alipigwa risasi sio za ukweli
Mkuu! Nina Singo hiyo ila haionyeshi jina la album!in short sikumbuki jina la album!Mkuu huo wimbo colonel bangala upo ktk albamu IPI?
au n ule fc 105 du Gabon?
ngoja niudownload Mara mojaMkuu! Nina Singo hiyo ila haionyeshi jina la album!in short sikumbuki jina la album!
ngoja niudownload Mara mojaMkuu! Nina Singo hiyo ila haionyeshi jina la album!in short sikumbuki jina la album!
unaitwa colonel bangala hivyohivyo?Mkuu! Nina Singo hiyo ila haionyeshi jina la album!in short sikumbuki jina la album!
unaitwa colonel bangala hivyohivyo?Mkuu! Nina Singo hiyo ila haionyeshi jina la album!in short sikumbuki jina la album!
Sio kweli.. Wala haikuwa hivyo. mambo mengi yamepotoshwa hapo.. Yericko Nyerere ulitakiwa kufanya research ya kutosha kabla hujaandika kuhusu kisa cha Karegeya
Mkuu huo wimbo colonel bangala upo ktk albamu IPI?
au n ule fc 105 du Gabon?
Mkuu tufokezee kidogo bac ukweli unaoujua weyeSio kweli.. Wala haikuwa hivyo. mambo mengi yamepotoshwa hapo.. Yericko Nyerere ulitakiwa kufanya research ya kutosha kabla hujaandika kuhusu kisa cha Karegeya
Yeriko kadanganya ama kapindisha mambo ?!!!Sio kweli.. Wala haikuwa hivyo. mambo mengi yamepotoshwa hapo.. Yericko Nyerere ulitakiwa kufanya research ya kutosha kabla hujaandika kuhusu kisa cha Karegeya
Yeriko kadanganya ama kapindisha mambo ?!!!
Mkuu tupe huo ukweli ili tuujueSio kweli.. Wala haikuwa hivyo. mambo mengi yamepotoshwa hapo.. Yericko Nyerere ulitakiwa kufanya research ya kutosha kabla hujaandika kuhusu kisa cha Karegeya