Tupike ugali na mlenda

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,488
Reaction score
65,832
Habari

Leo nilikuwa na hamu ya ugali na mlenda basi nikaanza kukata majani ya maboga na bamia kisha nikaweka maji kidogo na magadi pamoja na chumvi kisha nikaweka jikoni na kuchanganya majani ya maboga na bamia kama unavyoona


Ugali najua mnajua kuupika

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…