Tupike simple and light breakfast

Tupike simple and light breakfast

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
19,295
Reaction score
60,915
Hello 👋,.
Leo si nikapika bhana halafu nikalala nikasahau kupost wakati nlishapiga Hadi picha,..

Haya tuanze,. Ingredients ni ndizi mbivu,. Maziwa ya Unga,. Kahawa na sukari

Kwenye kikombe chako kisafi utaanza kuweka sukari kijiko kimoja
DSC_0163.JPG


Utafatia na kahawa nusu au robo kijiko,. Mie nliweka robo kijiko cha chakula
DSC_0164.JPG


Then utaweka maziwa ya Unga vijiko viwili au vitatu kulingana na wewe unavyopendelea,. Mie nliweka vitatu
DSC_0165.JPG


Baada ya hapo utamiminia maji yako ambayo ulishachemsha kama hivi
DSC_0166.JPG


Make sure umekoroga vizuri kabisaa maziwa yasijiweke mabongebonge
DSC_0167.JPG


Then chukua ndizi yako mbivu imenye vizuri unakunywa na chai kama hivi,. Very simple huwashi hata jiko yaani
DSC_0168.JPG


Sema hii ndizi bhana😌,,. Anyway nilienjoy breakfast yangu
DSC_0162.JPG
 
Hello ,.
Leo si nikapika bhana halafu nikalala nikasahau kupost wakati nlishapiga Hadi picha,..

Haya tuanze,. Ingredients ni ndizi mbivu,. Maziwa ya Unga,. Kahawa na sukari

Kwenye kikombe chako kisafi utaanza kuweka sukari kijiko kimojaView attachment 3443948

Utafatia na kahawa nusu au robo kijiko,. Mie nliweka robo kijiko cha chakulaView attachment 3443959

Then utaweka maziwa ya Unga vijiko viwili au vitatu kulingana na wewe unavyopendelea,. Mie nliweka vitatu View attachment 3443963

Baada ya hapo utamiminia maji yako ambayo ulishachemsha kama hiviView attachment 3443968

Make sure umekoroga vizuri kabisaa maziwa yasijiweke mabongebonge View attachment 3443973

Then chukua ndizi yako mbivu imenye vizuri unakunywa na chai kama hivi,. Very simple huwaahi haya jiko yaaniView attachment 3443975

Sema hii ndizi bhana,,. Anyway nilienjoy breakfast yanguView attachment 3443980
Mdalasini, hiriki, karafuu na pilipili manga ya unga inafaa kuchanganywa pamoja kwa chai ?
 
Hello 👋,.
Leo si nikapika bhana halafu nikalala nikasahau kupost wakati nlishapiga Hadi picha,..

Haya tuanze,. Ingredients ni ndizi mbivu,. Maziwa ya Unga,. Kahawa na sukari

Kwenye kikombe chako kisafi utaanza kuweka sukari kijiko kimojaView attachment 3443948

Utafatia na kahawa nusu au robo kijiko,. Mie nliweka robo kijiko cha chakulaView attachment 3443959

Then utaweka maziwa ya Unga vijiko viwili au vitatu kulingana na wewe unavyopendelea,. Mie nliweka vitatu View attachment 3443963

Baada ya hapo utamiminia maji yako ambayo ulishachemsha kama hiviView attachment 3443968

Make sure umekoroga vizuri kabisaa maziwa yasijiweke mabongebonge View attachment 3443973

Then chukua ndizi yako mbivu imenye vizuri unakunywa na chai kama hivi,. Very simple huwaahi haya jiko yaaniView attachment 3443975

Sema hii ndizi bhana😌,,. Anyway nilienjoy breakfast yanguView attachment 3443980
Punguza sukari best🤣🤣🤣 sukari hiyo uliotumia ni nyingi sana
 
Back
Top Bottom