Tupike maboga ya nazi

Tupike maboga ya nazi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,787
Hellow

Leo bhna nilitaka kukimbia hapa sasa gafla natoka njee mh nakutana na wazee wazima hawa hapo wanakula nikasema ngoja nirudi ndani niangalia chakufanya sina mbio za kukimbiza nao ndio nikaona boga nikasema ngoja leo nipike hii kitu
1742476109108.jpeg

Kwanza nikalikata katikati
1742476226730.jpeg

Kisha nikatoa mbegu izo za maboga
1742476353300.jpeg

Baada ya hapo nikalimenya boga vizuri tu
1742476598540.jpeg

Baada ya hapo nika katakata vipande kama hivi
1742476768130.jpeg

Baada ya hapo nikaweka maji na kuchemsha
1742476804488.jpeg

Nikaona maji mengi nilipunguza kisha nikaweka nazi yangu
1742476847642.jpeg

Ikachemka kwa muda nikaipua note usikoroge sana kuna watu wanapenda kukoroga utakunywa uji wa maboga na sio kula maboga
1742476908664.jpeg
 

Attachments

  • 1742476163771.jpeg
    1742476163771.jpeg
    377.4 KB · Views: 24
  • 1742476288377.jpeg
    1742476288377.jpeg
    416.1 KB · Views: 17
Hellow

Leo bhna nilitaka kukimbia hapa sasa gafla natoka njee mh nakutana na wazee wazima hawa hapo wanakula nikasema ngoja nirudi ndani niangalia chakufanya sina mbio za kukimbiza nao ndio nikaona boga nikasema ngoja leo nipike hii kitu
View attachment 3277442
Kwanza nikalikata katikati
View attachment 3277444
Kisha nikatoa mbegu izo za maboga
View attachment 3277447
Baada ya hapo nikalimenya boga vizuri tu
View attachment 3277449
Baada ya hapo nika katakata vipande kama hivi
View attachment 3277451
Baada ya hapo nikaweka maji na kuchemsha
View attachment 3277452
Nikaona maji mengi nilipunguza kisha nikaweka nazi yangu
View attachment 3277453
Siku moja tupikie nyama za hao jamaa ndugu zake konde boy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom