Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Hellow
Tupike keki ya kawaida ya kula tu nyumbani kwa hamu tu na maandalizi yake ni yakawaida kabisa
Kwanza tutaanza kuandaa vifaa vyetu
Kisha tutaanza kuweka mayai matatu na kukoroga mpaka povu litoke
Kisha nitaweka sukari kikombe kimoja kidogo ila mimi siku weka yote kuepuka sukari nyingi nayo ukiweks koroga mpaka uone mchanganyiko wako ni mzito pia mweupe
Mchanganyiko wako uwe wa aina hii
Baada ya hapo uta weka radha mimi nimetumia hii wewe una weza weka vanila ila mm naipenda hii keki ina kuwa ya kipekee zaidi
Ukiweka ivyo utaweka pia blue band kiasi cha kikombe kidogo ila mimi nimekadiria wewe kama sio mzoefu pima kwenye kikombe
Kisha koroka mpaka mchangiko wako uonekane smooth kabisa yaan soft
Kama hivi
Kisha weka unga kiasi cha robo au kikombe kidogo kisha koroga tena mchanganyiko wako hakikisha hauna mabonge kabisa
Kisha weka kwenye oven yako moto wa kawaida tu ila uwe una chungulia chungulia
Na hii ndio keko yetu ya kula nyumbani sio ya biashara
Tupike keki ya kawaida ya kula tu nyumbani kwa hamu tu na maandalizi yake ni yakawaida kabisa
Kwanza tutaanza kuandaa vifaa vyetu
Kisha tutaanza kuweka mayai matatu na kukoroga mpaka povu litoke
Kisha nitaweka sukari kikombe kimoja kidogo ila mimi siku weka yote kuepuka sukari nyingi nayo ukiweks koroga mpaka uone mchanganyiko wako ni mzito pia mweupe
Mchanganyiko wako uwe wa aina hii
Baada ya hapo uta weka radha mimi nimetumia hii wewe una weza weka vanila ila mm naipenda hii keki ina kuwa ya kipekee zaidi
Kisha koroka mpaka mchangiko wako uonekane smooth kabisa yaan soft
Kama hivi
Kisha weka unga kiasi cha robo au kikombe kidogo kisha koroga tena mchanganyiko wako hakikisha hauna mabonge kabisa
Kisha weka kwenye oven yako moto wa kawaida tu ila uwe una chungulia chungulia
Na hii ndio keko yetu ya kula nyumbani sio ya biashara