Tupike keki nzuri ya kawaida

Tupike keki nzuri ya kawaida

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Hellow

Tupike keki ya kawaida ya kula tu nyumbani kwa hamu tu na maandalizi yake ni yakawaida kabisa

Kwanza tutaanza kuandaa vifaa vyetu
1753445663152.jpeg

Kisha tutaanza kuweka mayai matatu na kukoroga mpaka povu litoke
1753445720881.jpeg

Kisha nitaweka sukari kikombe kimoja kidogo ila mimi siku weka yote kuepuka sukari nyingi nayo ukiweks koroga mpaka uone mchanganyiko wako ni mzito pia mweupe
1753445808912.jpeg

Mchanganyiko wako uwe wa aina hii
1753445937735.jpeg

Baada ya hapo uta weka radha mimi nimetumia hii wewe una weza weka vanila ila mm naipenda hii keki ina kuwa ya kipekee zaidi
1753446067927.jpeg
Ukiweka ivyo utaweka pia blue band kiasi cha kikombe kidogo ila mimi nimekadiria wewe kama sio mzoefu pima kwenye kikombe
Kisha koroka mpaka mchangiko wako uonekane smooth kabisa yaan soft
Kama hivi
1753446227584.jpeg

Kisha weka unga kiasi cha robo au kikombe kidogo kisha koroga tena mchanganyiko wako hakikisha hauna mabonge kabisa
1753446308557.jpeg

Kisha weka kwenye oven yako moto wa kawaida tu ila uwe una chungulia chungulia
1753446374003.jpeg

Na hii ndio keko yetu ya kula nyumbani sio ya biashara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom