Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Hello mliomba nipike biriani hili hapa saa sita tu lishaiva linasubiri walaji mje
Kwanza niliandaa mchele kisha nikauloweka kwa mda wakati nyama inaiva mchele huu ni ule wa basmati baada ya hapo nikauchemsha ule mchele baada ya mda nikaanza kupika kwa kuunganga niliweka mafuta kisha nikaweka mchele na nikaweka rangi yangu nilio itaka
Nikaweka moto mdogo sana yaani ili uive pole pole
Baada ya hapo nyama ilikuwa teyar ishaiva nikaanza sasa kutengeneza sotojo la birian yaan kuipika birian yenyewe sasa
Nikaweka mafuta kisha nikaweka nyama baada ya kuweka nyama nikaweka pilau mix pamoja na kiungo cha birian
Baada ya hapo nikachukua nyanya nilio brendi lakini wakat na brend sikuweka nyanya pekee niliweka hoho na karoti kwa pamoja ndipo nika brendi
Baada nyanya kutokota vizuri nikaweka 🍅 paste kisha nikaweka vitunguu ambavyo nilivi kaanga mwanzoni kisha nikaweka pembeni ili vijichuje mafuta
Nikavichanga vizuri kisha nikaweka na mtindi hapo nikakoroga vzr nikaacha sotojo liichemke baada ya sotojo kuiva ndipo nikaweka kwenye poti
Hivyo
Baada ya hapo nikaipua na wali wangu na kuweka kwa poti teyar kwa kuliwa
Karibuni usikose ndizi muhimu 😆
Kwanza niliandaa mchele kisha nikauloweka kwa mda wakati nyama inaiva mchele huu ni ule wa basmati baada ya hapo nikauchemsha ule mchele baada ya mda nikaanza kupika kwa kuunganga niliweka mafuta kisha nikaweka mchele na nikaweka rangi yangu nilio itaka
Nikaweka moto mdogo sana yaani ili uive pole pole
Baada ya hapo nyama ilikuwa teyar ishaiva nikaanza sasa kutengeneza sotojo la birian yaan kuipika birian yenyewe sasa
Nikaweka mafuta kisha nikaweka nyama baada ya kuweka nyama nikaweka pilau mix pamoja na kiungo cha birian
Baada ya hapo nikachukua nyanya nilio brendi lakini wakat na brend sikuweka nyanya pekee niliweka hoho na karoti kwa pamoja ndipo nika brendi
Baada nyanya kutokota vizuri nikaweka 🍅 paste kisha nikaweka vitunguu ambavyo nilivi kaanga mwanzoni kisha nikaweka pembeni ili vijichuje mafuta
Nikavichanga vizuri kisha nikaweka na mtindi hapo nikakoroga vzr nikaacha sotojo liichemke baada ya sotojo kuiva ndipo nikaweka kwenye poti
Hivyo
Baada ya hapo nikaipua na wali wangu na kuweka kwa poti teyar kwa kuliwa
Karibuni usikose ndizi muhimu 😆