Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Mmmmmh kwa hili nimechoka
kuna watu waniibia serikali kweli lakini na awa ndugu zetu wanaotuhudumia lazima nao
waijali kidogo serikali....nimeomba kama mko karibu nao waambieni nao wawe wanatoa
hata risiti incase hata wakikufanyia so unawatafuta kupitia risiti zao
Ni kweli huduma nzuri mnato je kama kwenye basi wanatoa tiketi ya sh.250 sembuse sh.15,000-20,000
kwenu wana accountant tunaomba design ya vitu vitakavyokuwa kwenye risiti za watu hawa tuwasaidie
Tumechoka tunatoa hela kubwa hata risiti upati na hii itawasaidia hata kama wakitoa huduma nzuri mtu anaona tu contact kwenye risiti kwa ukumbusho anaamua kukumbushia....
kuna watu waniibia serikali kweli lakini na awa ndugu zetu wanaotuhudumia lazima nao
waijali kidogo serikali....nimeomba kama mko karibu nao waambieni nao wawe wanatoa
hata risiti incase hata wakikufanyia so unawatafuta kupitia risiti zao
Ni kweli huduma nzuri mnato je kama kwenye basi wanatoa tiketi ya sh.250 sembuse sh.15,000-20,000
kwenu wana accountant tunaomba design ya vitu vitakavyokuwa kwenye risiti za watu hawa tuwasaidie
Tumechoka tunatoa hela kubwa hata risiti upati na hii itawasaidia hata kama wakitoa huduma nzuri mtu anaona tu contact kwenye risiti kwa ukumbusho anaamua kukumbushia....