Tuliosoma shule za vijijini kipindi hicho tulikuwa tunasikia watu walipata pepa mitihani imeshakwisha.
Nilikuwa sitaki hata kuzisikia maana walimu wetu walikuwa wametujengea kujiamini.
matango pori yanasaidia kama topic zote zinazotakiwa kusoma ulizi-cover fresh..........coz matongopori yanaweza yasiwe yenyewe lakin yaka-relate na national exam yenyewe.......
Clopp alim suck mou hadi akalia daaah...
Conclusion.
Nasikitia kumpoteza mou now sijui fans wa chelsea nitawataniaje tena wakati mou ndio alikuwa ananipa maneno ya kuwatania.
nilijikuta napata matango pori hata yanapotokea sikujua form 6 ilkua kiboko pepa ya phyz watu waliokua chimbo walilia machozi kwa kujitenga coz awakuweza kuyasogeza maswali
nadhan umejifunz kitu kuwen tu na umoja mtashinda hasa wa boarding
alaf kwa waliojiandikisha bvr muende na vichinjio vyenu hahahaha am kidding
Tuliosoma shule za vijijini kipindi hicho tulikuwa tunasikia watu walipata pepa mitihani imeshakwisha.
Nilikuwa sitaki hata kuzisikia maana walimu wetu walikuwa wametujengea kujiamini.
With touchable, concrete, relevant and cohereted examples, distangle the evidence that democracy is not democracy if and only if democracy is no longer democracy.
matango pori yanasaidia kama topic zote zinazotakiwa kusoma ulizi-cover fresh..........coz matongopori yanaweza yasiwe yenyewe lakin yaka-relate na national exam yenyewe.......