Huijui CCM wewe, kaa kimyaa.kura yangu inakwenda kwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi, mnapiga sana kelele kuongoza nchi sio suala la mzaha mzaha. Kuna mtu chama chake kimeshindwa hata kujenga ofisi ya chama licha ya ruzuku kedekede leo anaomba ridhaa tumpe uongozi aijenge Tanzania? Hizi ni dharau za waziwazi na majibu atayapata tarehe 28 Oct. Hizi thread zote tutazifukua maana watu wa hulka kama ya mleta mada wana kumbukumbu ndogo sana. Amesahau kama 2015 alideki barabara .
Kwakua wako madarakani na katiba yetu ni mbovu, wana hila nyingi za ushindi bandia.
Labda kama utatangaza wewe ukiwa kaburiniKinachosikitisha lakini ni ukweli, NEC na CCM wamejipanga sana kudhurumu uchaguzi na Magufuli atatangazwa mshindi.
Umesahau kututaja tulio maliza vyuo miaka 4 sasa ajira hakuna saizi tunaoneka wasomi ni wapumbavu flani ,kura yangu ni LisuEnyi watia nia 7000 wa CCM mlionyimwa mishahara.
Enyi wagombea wa CCM mlioshinda kura za maoni na kutoteuliwa.
Enyi wafanyabiashara mliofirisiwa mitaji yenu kwa kodi za TRA.
Enyi watumishi mlionyimwa haki yenu ya nyongeza ya mshahara wa kila mwaka.
Enyi wakulima ambao mmekopwa mazao yenu na mazao yenu kupata bei hafifu.
Enyi wanavyuo mliokosa mikopo ya elimu ya juu.
Enyi watumishi wa umma na binafsi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu ambao mmepandishiwa riba kutoka asilimia 3 baadae 8 na kufika 15.
Enyi mama ntilie, machinga, na wafanya biashara wadogo wadogo mliouziwa vitambulisho vya mjasiliamali kwa elfu 20.
Enyi ndugu za waathirika wa kesi za kubambikia na vifungo vya uonevu.
Enyi ndugu za waathirika wa utekaji, utesaji, na mauaji ya wasiojulikana.
Enyi watumishi mlioacha au kuachishwa kazi na mnaathirika na kuzuiwa kwa fao la kujitoa kwenye mifuko ya pensheni.
Enyi wastaafu watarajiwa kuanzia mwaka 2022 ambao mtakumbana na kikokotoo kandamizi cha mafao yenu ya kustaafu
Enyi watumishi wa umma mlioitwa "watumishi hewa na vyeti feki" mliofukuzwa kikatili.
Enyi maafisa, wakurugenzi, wakuu wa idara, makatibu wakuu, mawaziri na maafisa wengine wote, mlioathirika na tumbuatumbua na tenguatengua zisizo na haki.
Enyi watanzania wote mliopata madhara katika utawala wa miaka mitano ya serikali ya CCM ya Magufuli.
MIMI MWANA CCM NINAWAOMBA KWA UNYENYEKEVU MKUBWA:
Tumia dakika mbili kila siku, kwa siku zilizobaki kabla ya tarehe 28/10/2020, kuwapigia simu ndugu, jamaa, na marafiki wa mijini na vijijini kuwaelimisha jinsi ya kujinasua kwenye makucha ya CCM ya Magufuli, kwa kumpigia kura TUNDU LISSU, kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Watanzania mpoooooooo!
#Haki Huinua Taifa#
Kinachosikitisha lakini ni ukweli, NEC na CCM wamejipanga sana kudhurumu uchaguzi na Magufuli atatangazwa mshindi.
Sure. Poleni. Pesa za kutengeneza ajira zimelala kwenye ndege, sgr na flyover. OverUmesahau kututaja tulio maliza vyuo miaka 4 sasa ajira hakuna saizi tunaoneka wasomi ni wapumbavu flani ,kura yangu ni Lisu
2015 nilifanya ujinga ambao umenitesa kwa miaka 5 tena nirudie kosa ? Never everSure. Poleni. Pesa za kutengeneza ajira zimelala kwenye ndege, sgr na flyover. Over
Makosa ya 2015 watanzania wengi tunajutia. Lakini sio kosa letu, alijivisha vazi la malaika kwa nje, wakati ni shetani kwa ndani. Alijifanya malaika wa nuru hivyo ilitakiwa macho ya rohoni kumuona. Gwajima na watumishi wengi wa Mungu waliona lakini....2015 nilifanya ujinga ambao umenitesa kwa miaka 5 tena nirudie kosa ? Never ever
Tumkatae tuwaambie na ndugu zetu tumkatae ametutesa sana nafsi zetuMakosa ya 2015 watanzania wengi tunajutia. Lakini sio kosa letu, alijivisha vazi la malaika kwa nje, wakati ni shetani kwa ndani. Alijifanya malaika wa nuru hivyo ilitakiwa macho ya rohoni kumuona. Gwajima na watumishi wengi wa Mungu waliona lakini....
Kutangazwa atatangazwa kama jamaa wa Malawi....ila guarantee ya kuongoza itategemea reaction ya watanzania...CDM...vyombo vya kimataifa nk....Kinachosikitisha lakini ni ukweli, NEC na CCM wamejipanga sana kudhurumu uchaguzi na Magufuli atatangazwa mshindi.
small IQMpaka CCM itoe maraisi wa awamu 7 ndo upinzani unaweza kuingia madarakani,vuteni subira
Huko mita 200 kutoka kituoni,wakala wa chama chako ametia sahihi ya kukubali matokeo.Mkakati mkuu ni kulinda kura zetu.
Sana sana kiti cha Urais.