Bi dada unaongea tu,
Mimi nilishapeleka ubuyu umeandikwa wa zanzibar kabisa nikijua leo ntalala kwa amani nikaambiwa sitaki huu nataka unaouzwa dukani kwa fulani! Huyo fulani simjui na nnajua mke wangu kuelekeza ni mzito....first month
Sometimes nahisi mnatukomoa. Nunueni tu ubuyu wenu wenyewe.
!
Bi
dada unaongea tu,
Mimi nilishapeleka ubuyu umeandikwa wa zanzibar kabisa nikijua leo
ntalala kwa amani nikaambiwa sitaki huu nataka unaouzwa dukani kwa
fulani! Huyo fulani simjui na nnajua mke wangu kuelekeza ni
mzito....first month
Sometimes nahisi mnatukomoa. Nunueni tu ubuyu wenu wenyewe.
Kiukweli nachukia sana ubuyu!
yaani huyu,halafu hana aibu hata karibia na nyumbani anafanyia uwehu wake?
Nashukuru Mungu kampeni dhidi ya ukatili wa kijinsia imepamba moto,pengine itasaidia kufuta kabisa ukatili dhidi ya wanawake na watoto.Mie nachukia sana ukatili dhidi ya mtu yeyote bila kujali jinsia.
Kuna huu ukatili kwa mwanamke kipindi cha ujauzito: kuna wanawake wengi wamepitia ukatili huu kwa namna tofauti tofauti..(kutokumjali mjamzito ni ukatili wa hali ya juu sana)
Dada yangu mie alipobeba ujauzito wake wa pili shemeji yetu alibadilika sana,kwanza akwa mkali kama pilipili kichaa,dada akimuomba amletee ukwaju anakataa,ubuyu hataki ,hata zile ice cream za bakhresa akawa mbishi kuleta.Tukimuuliza kwa nini anamfanyia hivyo mwenzie anasema dada anatumia mimba kumpanda kichwani.
Hakuna siku iliniuma sana kama ile dada alipomfumania shemeji akiwa restaurant ya jirani na nyumbani kwao,mida ya saa moja jioni,yuko na mwanamke wanalishana kwa midomo,cha ajabu shemeji wala hakushtuka,ndo kwaanza akaanza kumgombeza dada kafata nini hapo,dada alipoanza kugomba pale aliambulia makofi na mateke ya kumtosha tu hadi akazimia.
Alizinduka baada ya masaa matatu akiwa hospitali..na shemeji hakuonekana nyumbani wiki nzima.
Ilibidi dada arudi nyumbani..mpaka amejifungua,hataki tena kurudi kwa shemeji.Wakina mama wanamshauri arudi tu kwa mumewe maana huyo ni mumewe.
Baada ya Kujifungua Shemeji anakuja nyumbani kila jioni..na zawadi nyingi nyingi tu.
Wewe,jirani,ndugu jamaa yako,je alishawahi kupitia ukatili wowote au changamoto zozote kutoka kwa mwenzi wake kipindi cha ujauzito? alikabiliana nazo vipi? baada ya ukatili huo ndoa ama mahusiano yaliendelea?
cc😡Kaizer ladyfurahia Passion Lady Lady Docto Arushaone Erickb52 Sungura2013 Mapi amu Husninyo Heaven on Earth DEMBA miss strong Baba V Mentor Excel Mamndenyi Ablessed Kongosho Rich woman kiwatengu shansarie miss chagga et al
Hakuna kipindi kigumu
wanawake wanapitia ni kipindi cha ujauzito, ukichunguza sana kipindi
hiki akina baba huwa ndio kasi ya nyumba ndgo inaongezeka sana, hawajali
tena familia zao ukiuliza sababu ohhh, mke wangu hataki kuniona,
ananichukia na sababu nyingine nyingi lakini hazina ukweli wowote. Kwa
mwanaume anayejitambua na kutambua thamani ya mke ni kipindi ambacho
anatakiwa awekaribu mno na familia yake. Akina baba amkeni
jamani!
Sometimes akiumia sana anakasirika vipi kama ni raha mlipata wote wakati wa kuipata hiyo mimba halafu maumivu apate peke yake. Sasa utapigiwa simu kila saa(I don't mind na huwa nabembeleza). Ila akianza kukulaumu kwa makosa madogo madogo ambayo siku zote alikuwa hata haulizi. Hakuna tena kukaa na washikaji wakati zamani alikuwa anaelewa sana tu. Hata ukienda home kwenyewe anapiga stori na mashosti waliomtembelea! Unawaza sa na mimi si ningekaa na washkaji kidogo tu?dah! mi ngoja nisiongee lolote labda mpaka nipate kizygote nione hali itavokuwa. inawezekana ni kweli mnakomolewa au inawezekana ile hali wanajisikia ndio kisababishi
Nashukuru Mungu kampeni dhidi ya ukatili wa kijinsia imepamba moto,pengine itasaidia kufuta kabisa ukatili dhidi ya wanawake na watoto.Mie nachukia sana ukatili dhidi ya mtu yeyote bila kujali jinsia.
Kuna huu ukatili kwa mwanamke kipindi cha ujauzito: kuna wanawake wengi wamepitia ukatili huu kwa namna tofauti tofauti..(kutokumjali mjamzito ni ukatili wa hali ya juu sana)
Hebu acha kujadili maisha ya ndoa za watu kwanza,wewe umeolewa? au ndio unaathirika na migogoro ya ndoa ya dada?
Btw: sikubaliani na vitendo vya unyay
Dada yangu mie alipobeba ujauzito wake wa pili shemeji yetu alibadilika sana,kwanza akwa mkali kama pilipili kichaa,dada akimuomba amletee ukwaju anakataa,ubuyu hataki ,hata zile ice cream za bakhresa akawa mbishi kuleta.Tukimuuliza kwa nini anamfanyia hivyo mwenzie anasema dada anatumia mimba kumpanda kichwani.
Hakuna siku iliniuma sana kama ile dada alipomfumania shemeji akiwa restaurant ya jirani na nyumbani kwao,mida ya saa moja jioni,yuko na mwanamke wanalishana kwa midomo,cha ajabu shemeji wala hakushtuka,ndo kwaanza akaanza kumgombeza dada kafata nini hapo,dada alipoanza kugomba pale aliambulia makofi na mateke ya kumtosha tu hadi akazimia.
Alizinduka baada ya masaa matatu akiwa hospitali..na shemeji hakuonekana nyumbani wiki nzima.
Ilibidi dada arudi nyumbani..mpaka amejifungua,hataki tena kurudi kwa shemeji.Wakina mama wanamshauri arudi tu kwa mumewe maana huyo ni mumewe.
Baada ya Kujifungua Shemeji anakuja nyumbani kila jioni..na zawadi nyingi nyingi tu.
Wewe,jirani,ndugu jamaa yako,je alishawahi kupitia ukatili wowote au changamoto zozote kutoka kwa mwenzi wake kipindi cha ujauzito? alikabiliana nazo vipi? baada ya ukatili huo ndoa ama mahusiano yaliendelea?
cc😡Kaizer ladyfurahia Passion Lady Lady Docto Arushaone Erickb52 Sungura2013 Mapi amu Husninyo Heaven on Earth DEMBA miss strong Baba V Mentor Excel Mamndenyi Ablessed Kongosho Rich woman kiwatengu shansarie miss chagga et al
Sometimes akiumia sana anakasirika vipi kama ni raha mlipata wote
wakati wa kuipata hiyo mimba halafu maumivu apate peke yake. Sasa
utapigiwa simu kila saa(I don't mind na huwa nabembeleza). Ila akianza
kukulaumu kwa makosa madogo madogo ambayo siku zote alikuwa hata
haulizi. Hakuna tena kukaa na washikaji wakati zamani alikuwa anaelewa
sana tu. Hata ukienda home kwenyewe anapiga stori na mashosti
waliomtembelea! Unawaza sa na mimi si ningekaa na washkaji kidogo tu?
Haya mapenzi ya kizungu sometimes sio issue wala
nn
Huu ni ukatili wa
hali ya juu na huyo mwanaume ni muuaji asijifanye na hizo zawadi zake
kumdanganya mkewe amuone kuwa ni mtu mzuri sana. Kama alishindwa kununua
ubuyu hizo zingine analeta kwa mapenzi yepi? Achukuliwe hatua huyo
kwani criminal offences has no limitation of time.
Sometimes akiumia sana anakasirika vipi kama ni raha mlipata wote wakati wa kuipata hiyo mimba halafu maumivu apate peke yake. Sasa utapigiwa simu kila saa(I don't mind na huwa nabembeleza). Ila akianza kukulaumu kwa makosa madogo madogo ambayo siku zote alikuwa hata haulizi. Hakuna tena kukaa na washikaji wakati zamani alikuwa anaelewa sana tu. Hata ukienda home kwenyewe anapiga stori na mashosti waliomtembelea! Unawaza sa na mimi si ningekaa na washkaji kidogo tu?
Haya mapenzi ya kizungu sometimes sio issue wala nn
sasa anashinikizwa arudi..na wanaomshinikiza wanadai ile mimba ilimfanya shemeji awe hivo,na wanasema wanaume wengine hua hata wanatapika...sasa mie sielewi kabisa..yaani sielewi
Wewe
umeolewa? au ndo bado unaishi kwa dada? anyway.huyo jamaa hamtendei haki
mkewe japokuwa mambo ya ndoa ni zaidi uyaonavyo kwa nje,pole kwa
dada...
Lakini ifike mahala tuache hii tabia ya kujadili ndoa za watu,mambo ya
wanandoa hayakuhusu hata kama ni ndugu
yako,
sijawahi kubeba mimba asee
nimemtumia dada yangu kama mfano..yanayomkuta najua kuna wengi yamewakuta,pengine zaidi ya hayo..kuhusu ubuyu na ukwaju,ushawahi kuona mjamzito anakaa na shati la mumewe? kila wakati anavuta harufu yake? kwa nini asikae na shati la mwingine?
Sasa mme asiende kazini?
Hizo bills zitalipwa na nani?
Au mme maisha yasimame kabisa kisa mke ana mimba? Jamani!!!! Basi
wanamme wataogopa kuzaa. Ni kweli kuna stage za mimba zikifika unataka
mtu akae kwapani kama semometa, lakini hali halisi
inashindikana.