Paul Mabuga
Member
- Nov 25, 2010
- 10
- 2
Mjadala wa leo: Tunajifunza nini kutokana na yanayojiri katika siasa za Kenya baada ya ICC kuamua kuwa Uhuru Kenyata na wenzake wana kesi ya kujibu. Karibuni
Mkuu Mabuga mimi hii Mahakama Icc inanitaza wanaohukumiwa huko ni Viongozi wa africa tu!! Tumeona ktk vita ya Libya Nato wameua watu wengi bila hatia na action taken kwa Viongozi wa Nato.
Mjadala wa leo: Tunajifunza nini kutokana na yanayojiri katika siasa za Kenya baada ya ICC kuamua kuwa Uhuru Kenyata na wenzake wana kesi ya kujibu. Karibuni