Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,199
- 10,837
sahihi mkuu, Wakala hawezi kuichukua pesa ya mtu kirahisi hivyo. Tungemfuatilia na kumpata. Data ziko wazi.Wala sio huyo dada ni mtu mwemaaa kiasi hicho hadi umuamini kuingia nae kwenye ndoa, ila alifanya kulinda brand ya biashara yake. Asingerudisha mngefuatilia hela imepotelea wapi na mngeenda dukani kwake na hata mahakamani mngepelekana. Aliogopa hicho kitu.
Jesus is Lord