Tunza Shahada yako, Piga kura yako

Tunza Shahada yako, Piga kura yako

IamPrince George

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
412
Reaction score
168
*TUNZA SHAHADA YAKO, PIGA KURA YAKO.

Tarehe 25 October 2015 siku ya Jumapili, Watanzania wote tutatakiwa kwenda kupiga kura ya kuwachugua Viongozi wa kututumikia kuanzia ngazi ya Diwani, Mbunge na Rais.

Kwa kutambua umuhimu wa kupiga kura ndio maana nakusisitiz kufanya jambo kuu la msingi ili tupate Viongozi bora wenye kuguswa na uwezo Wa kutatua changamoto za wananchi wake.

Ili upate viongozi hao ni lazima Utunze SHAHADA YAKO a.k.a Kichinji, Usimpe mtu wala kuuza Shahada yako, Shahada yako ni Elimu bora, Shahada yako ni Afya bora, Shahada yako ni Maendeleo yako, tunza shahada yako.

#MabadilikoNiLazima2015
 

Attachments

  • 1442638891739.jpg
    1442638891739.jpg
    56.5 KB · Views: 82
kichinjio ndicho kitakachokupa tanzania ya ndoto yako ndoto ambayo iliotwa mda mrefu na
ababu zetu na
abibi zetu naimani inatimia kuanzia mwaka huu natamani babu na bibi wangekuwepo kuiona ndoto
m
ninamuamini maana na yeye anajiamini
#vivalowasa
#mabadilikoNiLazima2015
 
Ni lazima tufanye mabadiliko ili kuijenga Tanzania Mpya ambayo Vizazi na Vizazi vitaifurahia, ni wakati wa mabadiliko, tunza shahada yako ili upige kura siku ya tarehe 25/10/2015.
#MabadilikoNiLazima2015
 
Back
Top Bottom