Tunza amani

Tunza amani

Amani ipi Hiyo ikiwa watu wanatekwa na kufungwa bila sababu za msingi.
 
Jambo la kwanza kabisa tutunze amani hayo mengine yote yatafuata

Kaa nje ya Tanzania ndipo utagundua Tanzania ni tamu

🇹🇿❤️
 
Wadanganyifu tulinde amani ili watawala wazidi kujilimbikizia mali za umma 🔥
 
Watawala ndiyo hasa wana jukumu la kutunza amani,matendo yao ndiyo yanaamua kuwepo amani au isiwepo!!
 
Tudumishe amani kwa usalama wetu na kwa maendeleo ya taifa letu
 
Back
Top Bottom