Walikuwa na lao jambo na walitumwa tunashukuru mungu alikuwa upande wetu, nawaomba tunajua hakuna chama kisicho na kasoro kwani vinaongozwa na binadamu wasiowakamilivu lakini ni vema wakawakilisha tuhuma zao kwa uongozi iliwaufanyie kazi kuliko kuuleta hapa na kutukana viongozi tuliowapa dhamana ya kutuongoza.