Emmathias
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 678
- 947
O-level alisoma Magu day namfahamuIsee naomba tusaidiane kumuombea rubani, nikijana mdogo wa miaka thelathini ya mwanzo, kwa waliosoma Mirambo amemaliza 2011 na SUA amemaliza 2014 alikua akisoma bachelor of science in wild life management, alitoka kwenye familia ya kawaida kiasi amesoma kwa michango michango sana, alikua ndo amekua nguzo kwenye familia yake bahati mbaya anataka kupotea kama upepo, Mungu amtunze na kumlinda popote alipo.