TUNDU LISU:Muungano wa Tanganyika na Z'bar ULISHAVUNJIKA!

Kuropoka ni jadi yake lisu nkumba alisema lisu anaumwa kwani hamjamwelewa nkumba mpaka sas.

Hivi Nkumba anauelewa katika jamii yetu kweli wa ku argue na Tundu, wewe pia unahitaji kumuona mtaalam wa akili na naamini atakupeleka moja kwa moja kujiunga na wagonjwa wenzio wa akili.
 
Tundu Lissu haipendi Zanzibar na hawapendi wazanzibari

Kwa kile kamati ya maridhiano inachokihubiri thinking strategically ningetegemea wangemwelewa LISU na CDM kwani hawana ule unafiki wa wengi wa rangi ya kijani. Analysis yake kuhusu muungano ni sawa, tatizo watu hawataki kusema wazi kwamba wanataka muungano ufe bali maneno yao na vitendo vyao vinaashiria hivyo.
 
Wana Jf, Muda huu ktk kipindi cha BBC asb,Mh. T.Lisu yupo ktk majadiliano na wadau wengine, akiwepo Julius Mtatiro wa CUF na Mama Terry.Mh T.Lisu anasema muungano wa Tanganyika na Z'bar ulishavunjika siku nyingi na kinachoendelea sasa ni kiini macho tu!Anadai unawezaje kusema muungano upo wakati katiba ya Z'bar inampa mamlaka rais wake kuwa mkuu wa vikosi vya jeshi Z'bar na hii inampa nguvu ya kutangaza hata vita!Pia anadai Z'bar kwa sasa ina identity zake kama taifa-wimbo wa taifa, bendera nk.Pia anadai kuwa, kwa kuwa ktk katiba mpya, inatarajiwa kuwa suala la mafuta halitakua la muungano, hivyo tujipange sasa kubainisha mipaka halali kati ya Tanganyika na Z'bar vinginevyo tujipange kuwa ktk mgogoro/vita wa mipaka kwani uwepo wa gesi maeneo ya Z'bar unatishia hali hiyo.Nawasilisha.

lipo wazi lamda kwa mtoto mchanga ndiye ambaye hawezi kuelewa jambo hili
 
Kwa kile kamati ya maridhiano inachokihubiri thinking strategically ningetegemea wangemwelewa LISU na CDM kwani hawana ule unafiki wa wengi wa rangi ya kijani. Analysis yake kuhusu muungano ni sawa, tatizo watu hawataki kusema wazi kwamba wanataka muungano ufe bali maneno yao na vitendo vyao vinaashiria hivyo.

tatizo lao wanapinga hadi ukwel cjui wanamapatizo gani.
 
Wana Jf, Muda huu ktk kipindi cha BBC asb,Mh. T.Lisu yupo ktk majadiliano na wadau wengine, akiwepo Julius Mtatiro wa CUF na Mama Terry.Mh T.Lisu anasema muungano wa Tanganyika na Z'bar ulishavunjika siku nyingi na kinachoendelea sasa ni kiini macho tu!Anadai unawezaje kusema muungano upo wakati katiba ya Z'bar inampa mamlaka rais wake kuwa mkuu wa vikosi vya jeshi Z'bar na hii inampa nguvu ya kutangaza hata vita!Pia anadai Z'bar kwa sasa ina identity zake kama taifa-wimbo wa taifa, bendera nk.Pia anadai kuwa, kwa kuwa ktk katiba mpya, inatarajiwa kuwa suala la mafuta halitakua la muungano, hivyo tujipange sasa kubainisha mipaka halali kati ya Tanganyika na Z'bar vinginevyo tujipange kuwa ktk mgogoro/vita wa mipaka kwani uwepo wa gesi maeneo ya Z'bar unatishia hali hiyo.Nawasilisha.

Muda mfupi ujao chama cha cuf kinafanya mkutano kupinga kauli iliyotolewa bungeni ya kushirikishwa zanzibar mchakato wa katiba mpya.
 
Kuropoka ni jadi yake lisu nkumba alisema lisu anaumwa kwani hamjamwelewa nkumba mpaka sas.

Aliyesema Lissu anaumwa anauguliwa na baba yake na hajalijua hilo bali yuko bize kulijua la Lissu. Mwambieni akampeleke baba yake India au amtibie mwenyewe
 
Huo ni ukweli, muungano halisi ulishakufa, umebaki muungano wa matumbo ya viongozi na mafisadi wa ccm kula kifisadi na kusaza! Huku wazanzibar na watanganyika wakipigika!

very true...Muungano ulikufa tangu enzi za Karume senior na Mwalimu pale Karume alipomwambia mwalimu, azimio la Arusha mwisho wake ni Chumbe(kile kisiwa km chache kabla ya kufika bandari ya unguja).
 
Back
Top Bottom