Tundu Lisu kiboko wa Pindaaa

a.ka. mzee wa products za victoria secrets! (totoz) ndio haswaaaaaaaaa ugonjwa wake! realy pathetic! long live our prezidar!

kuwa prsedent Tanzania kwa kpindi hiki kunahitaji moyo na maandalizi ya kutosha kuwa kipofu na kiziwi kwa kuwasikiliza wna nchi jamani wamechooookaa jk wa pili poleeeeeee
 
It's over, Pinda ni nani anajidai eti mtoto wa mkulima....wizi mtupu, serekali yake inaonyesha dharau kubwa kwa wananchi na mamlaka nyingine km bunge, haiwezekani uwozo wote uliofanywa kisha serekali yake inakaa kimya
 

Hata Wananchi kama tungelikuwa na uwezo wa kupga kura ya kutokuwa na IMANI na Serikali. Bila shaka wengi wangeliiunga mkono hoja hiyo.

Lakini Bunge ndilo lenye uwezo huo na utashangaa Wabunge hao hao wataingiza SIASA katika suala kaa hili nyeti.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

Nadhani katika katiba mpya kuna haja ya kuweka kipengele kuwa kama itatokea wananchi waka weka petition na kukusanya kiwango fulani cha idadi ya signature utokuwa na imani na kiongozi yeyote then aweza kuwajibishwa. hii itasadia , tungeweza kusign a petition lets bsays ikifikia wananchi idadi then waziri mkuu anapigiwa kura ya kutokuwa na imani nae.
 
Dawa nikuachana na siasa za ushabiki tugeukie uzalendo sasa hawa jamaa zetu wa magamba wanajisahau sana wanakomalia ushabiki wa kijinga zaidi ya usimba na uyanga.
 
jinasi nilivyo na hasira na utawala huu natamani nijinyonge pinda ndio angekua wakwanza kuwajibishwa
 
Kwa kweli mh ameonekana kupwaya kimaamuzi, mf alipewa mzinga wa gari yeye akalikataa ila akasema apewe mwingine, lingne kuhusu jairo alikosa mamlaka ya kumwajibisha ila yalitoka wapi kwa nyoni? Lakini tusimlaumu mkuu maana hata yeye anamtumikia kafiri ili apate mradi wake. Naunga hoja mkono.
 
Kekekeeeee, uwiiiiiii twafaaa Kg ya mchele=3000/=, Unga=1,500/=,Sukari=2,300/= nk harafu JK anazidi kutaliiiii hivi haoni tunavyopata taabu? jamani 2015 ni mbali mnooooooo!!!!!!!!!!!:hail:
 
Kekekeeeee, uwiiiiiii twafaaa Kg ya mchele=3000/=, Unga=1,500/=,Sukari=2,300/= nk harafu JK anazidi kutaliiiii hivi haoni tunavyopata taabu? jamani 2015 ni mbali mnooooooo!!!!!!!!!!!:hail:
wakati huo huo Mmekopa ndani ya mwaka mmoja 3.4 trillion....
 
Anywhere in the world where people clearly can see ministers failing to adhere to what they were elected for would raise questions for their abilities. Unfortunately resignation in our country for such matters is as rare as rare can can be. It is a new vocabulary for that government I wonder where we will end up...
 
Wabunge wa Chadema wana akili na ni chama makini. Watakoma hao magamba but kwa kweli nashangaa kwa nini hatua haichukuliwi jamani tupo wachapa kazi waaminifu but hatuoni. Yaani kila wizara inanuka, na ni wale wabunge wa chama cha magamba ndo wanafanya hayo. Tuwe na serikali mseto at least, nimedhooooofu , upuuzi mtupu.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom