Breaking newz:Tundu Risu amkaanga pinda asema apigiwe kura ya kutokuwa na imani na serikari yake dhidi ya kila mbuge anaye amka kuchangia anasema serikari wezi wezi wezi
akasema kama serikali ndo yenye rungu la kushughukia hwa wakurgenzi na watendaji wengne lkn serikari imekaa kimya sasa pinda wa nini Tanzania?
Nnaunga mkono hoja pinda wa nini?
Nawasilisha
akasema kama serikali ndo yenye rungu la kushughukia hwa wakurgenzi na watendaji wengne lkn serikari imekaa kimya sasa pinda wa nini Tanzania?
Nnaunga mkono hoja pinda wa nini?
Nawasilisha