Tundu Lissu yupo live bungeni

Tundu Lissu yupo live bungeni

Nilitegemea kupata chochote alichokisema Lisu kuhusu hilo mama vunja kanuni lakini sijaambulia kitu... Ngoja nisubiri tu magazeti ya kesho..!!

BACK TANGANYIKA
 
anaitwa mzee wa nondo,nukuu huyu mwanasheria aliyemridhi werema sio mwanasheria wa bunge,ni mwanasheria wa serekali
 
Niwe mkweli kabicha wasipokuwepo hawa wabunge
Lissu, Msigwa na Mnyika huwa siendelei kuangalia Bunge.

halima machali kafulila mkosa mali kamanda esther matiko mariam msabaha na maukawa yote full kuyabana viccm
 
ana mawe ya hatari hili moja kati ya jiwe lililomtoa sita povu la hatari
nukuu lisu,walioyozoeya vya kunyonga hawezi vya kuchinja, na walioyozoeya kuishi kwa uongo haweze kuishi kwa kusema kweli
 
Huyu mama Mwenyekiti wa kikao cha leo (Lediana Mng'ong'o) ni kwamba hazijui kanuni za uendeshaji wa vikao vya bunge au anafanya makusudi tu? ......Kwa ujinga wake kajikuta anaibishwa na kuambiwa "anaendesha kikao kwa kutumia kanuni za nyumbani kwake badala ya kanuni za bunge!"

Daah, nimemuonea huruma sana na kwa kweli hilo ndilo tatizo la kuweka mbele ukada/uCCM badala ya kuwa referee wa kusimamia mambo fairly!.
 
Nimecheka sana, Tundu Lissu hana poo, mama kajaribu kutumia kiti kujitetea na kulazimisha mambo kiti kikamkimbia..
 
Hivi jamani ambao hawaudhulii bungeni huwa wanapata posho, nina wasiwasi na hilo. Na kwakuwa wengi hawaudhulii tokana na harakati za uchaguzi, kwanini bunge liendelee kuwepo?? Khaaa!!
 
Daah nimemkosa kamanda wa ukweli,viti vya magamba vitakuwa vimewaka moto,wiki nzima wataacha kujadili hoja zilizowapeleka bungeni,watakuwa wanamjadili Lissu,mpaka fahamu zije ziwarejee, mbunge hilooo kwa heri ya kuonana kila mtu na vilango vyake.
 
yule mama anajifunza kuongoza vikao vya bunge. amefanya mambo ya ajabu sana leo. ni aibu.
 
akirudi mnyika kikosi kitakuwa kimekamilika
 
Zungu na ndugai ndio waongozaji wazuri..
 
Back
Top Bottom