Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,872
- 1,235
- Thread starter
- #21
Ungeenda moja kwa moja kwenye point yako ungeeleweka tu..unazunguuuuuka!!
Edited now you can see my point.
Ungeenda moja kwa moja kwenye point yako ungeeleweka tu..unazunguuuuuka!!
Kajifunze kwanza kiswahiliTundu Lissu ni mropokaji kila mtu analijua hilo, kila siku amalizi kutoa vituko bungeni
English is my 2nd lugha mkuu hivyo wala is not an issue to meMkuu mgomo wa walimu una siku nne na hapo kwenye red naona madhara ya mgomo huo yashakufikia.
kwa nini mnabishia rutakyamilwa kwa mambo ya kipuuzi aliyoyafanya lissu kwa vile humu wamejaa pro-cdm basi asikosolewe mnadhimu wa kambi ya upinzani? Ni mara ngapi anataka ajionyeshe kwenye tv tuu tena leo kabisha kwa ukali kabisa km kawaida yake huku akizunguka pande zote na kumshutumu mwakyembe.
Tuwe bias na hoja zinazowekwa humu (wakweli)