GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,299
Kubishana na chizi, utajipa kazi ( in the voice of Darasa)Tatizo lako ni haraka. Utaelewa tu maana ya KUFURU
Kubishana na chizi, utajipa kazi ( in the voice of Darasa)Tatizo lako ni haraka. Utaelewa tu maana ya KUFURU
Bashe na Msukuma huenda wakafutwa uanachama kwa sababu zilizowafanya wakawekwa selo leo. Kweli TAL alishasema na sasa yameanza kutimia!Mh.Lissu ulituonya kuwa leo hii ni wapinzani na baada ya hapo itakuwa ni zamu ya wengine maana hiyo ndio tabia ya madikteta na leo naona wakina fulani wameanza kugeukwa.
Na huu ni mwanzo tu.
Kweli muda ni mwalimu mzuri(muda ni kiboko yao).
Utaelewa vipi wakati wewe na Albert Bashite ni watoto wa Baba mmoja na Mama mmoja, yaani toka ntoke.Nimesha kuambia siwezi kuelewa
Kubishana na chizi, utajipa kazi ( in the voice of Darasa)
kichwa chako kimejaa ubashite tu [HASHTAG]#Mwafaaa[/HASHTAG]Siwezi kuelewa
Siwezi kuelewa
Kweli kabisa, dawa ya deni ni kulipa. Tatizo ni kwamba hakuna mwenye ujasiri wa kukata umeme huo endapo SMZ hawatalipa walau kiasi fulani cha hiyo b20.Wakate umeme zenj
Mmeshawasha chemli huko...wanaume tutachoka if you know what I meanNa bado, Dikteta atawanyosha wote. Hata mama Jesca aliwaonya CCM kisiri lakini wakampuuza, leo cha moto wanakiona.
Safi sana Ngosha, uzi huo huo mpaka wakuabudu, kukuombea wameshachoka.
Nilisha vuna kabla babako hajajua atazaa kituko ganiMuda ulotumia kuandika hz blah blah Unge invest kweny kilmo ungekuta unavuna by now
Soma vizurii Hoja ndugu unaweza ukapanik kumbe hoja haikuumizii kuna wakina Fulani walitaka wakatoe Hoja ya kumpinga mweshimiwa Mwenye kitii,,Hakuna Dikteta Zaidi ya Mbowe,.Kwanza mtuambie Mbowe atakuwa mwenyekiti mpaka lini!!?
Alikuwa mwenyekiti Tundulisu Bado mbichi
leo Mbowe nimwenyekiti Tundulisu makunyanzi usoni yamemjaa
wala haja jaribu kunyanyua kopo lake kusema!!
Mbowe anabadili Katiba kujioa mamlaka yakuwa mwenyekiti mpaka pale jeneza lake linaingia Shimoni
mbona Tundulisu Hajaoanua Kopo lake!!?
Leo yanawauma ya Ccm nyie mpoje!!
Mkapa kagombea urais mfululizo
Jk kagombea urais mfululizo
Dk Sheni kagombea urais Mfululizo
Leo Kwa Magu iwe Nongwa!!?
Mchukie,msipende
MAGUFULI NDIYE RAIS MPAKA 2025
Yale maono au bangiBado maono ya Lema nayo Siku sio nyingi yatatimia maana nasikia zee la wet section kesho linatimuliwa
Kuna kitu kinaitwa KUFURU. Panapo majaaliwa utanielewa
Uwezo wake wa kufikiri upo at climax. ANAVYOKWAMBIA HAWEZI KUELEWA NI KWELI. Usilazimishe kaka toyota pickup ibebe container.Tatizo lako ni haraka. Utaelewa tu maana ya KUFURU
Team Bashite!Siwezi kuelewa
hili utalijua wewe mawazo yangu sio yako na mtazamo wangu sio wako so usiforce tufanane ukikwazika tumbukiza kipande cha limau mdomoni.Yale maono au bangi
Ndugu huo mfano wako ni shidaUwezo wake wa kufikiri upo at climax. ANAVYOKWAMBIA HAWEZI KUELEWA NI KWELI. Usilazimishe kaka toyota pickup ibebe container.
Kumbe hawa watu bado wapo?hahahahahagHakuna Dikteta Zaidi ya Mbowe,.Kwanza mtuambie Mbowe atakuwa mwenyekiti mpaka lini!!?
Alikuwa mwenyekiti Tundulisu Bado mbichi
leo Mbowe nimwenyekiti Tundulisu makunyanzi usoni yamemjaa
wala haja jaribu kunyanyua kopo lake kusema!!
Mbowe anabadili Katiba kujioa mamlaka yakuwa mwenyekiti mpaka pale jeneza lake linaingia Shimoni
mbona Tundulisu Hajaoanua Kopo lake!!?
Leo yanawauma ya Ccm nyie mpoje!!
Mkapa kagombea urais mfululizo
Jk kagombea urais mfululizo
Dk Sheni kagombea urais Mfululizo
Leo Kwa Magu iwe Nongwa!!?
Mchukie,msipende
MAGUFULI NDIYE RAIS MPAKA 2025