johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,374
- 142,614
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Serikali ya Tanzania ina Matumizi ya anasa ya kodi za wananchi.
Amesema kwa mfano Ubelgiji Msafara wa Mkuu wa Nchi ambaye ni Waziri Mkuu una magari 3 tu na ni nchi Tajiri lakini hapa Tanzania Msafara wa Rais una magari zaidi ya 200.
Sasa piga hesabu ya mafuta, posho, upigaji nk, ni lazima tutaendelea kuwa maskini kwa kitambo kirefu.
Amesema kwa mfano Ubelgiji Msafara wa Mkuu wa Nchi ambaye ni Waziri Mkuu una magari 3 tu na ni nchi Tajiri lakini hapa Tanzania Msafara wa Rais una magari zaidi ya 200.
Sasa piga hesabu ya mafuta, posho, upigaji nk, ni lazima tutaendelea kuwa maskini kwa kitambo kirefu.