Tundu Lissu: Tiketi mkononi, ulemavu mwilini, uimara moyoni. Anarejea uwanja wa mapambano kutimiza haja ya moyo wake!

"Rudi mwanangu nyumbani ufanye na kurekebisha yale yanayo nitia simanzi huku niliko. 1995 niliposema siwezi kuikabidhi nchi kwa mbwa watu hawakunielewa wakasema nawatukana, lakini natumaini sasa wameelewa nilimaanisha nini. Muumba alizuia usije huku ili ukamilishe kazi anayotaka uifanye na wazee waliotangulia huku wote wanakutaka ukaifanye hasa mzee Kingunge anasema Tanzania sio barabara ya kuhitaji nyapala bali ni nchi inahitaji Rais"
Akisikika Mwalimu akizungumza na washiriki wenzake wa kikundi cha matarumbeta kumsifu Mungu.View attachment 1195569
Nyerere huyu ni yupi?
Ni yule tuliyeambiwa na Tundu alizoea vya kunyonga?
 
Anarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).

Lissu si yule yule kimwili. Amepata ulemavu wa mwili. Sasa anachechemea na kuchapia mguu. Ulemavu ameupata tarehe ya kurudi kwake mwaka juzi. Ameupata ulemavu akiwa kwenye mapambano ya kisiasa kwenye viunga vya Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lissu survived to accomplish his mission. Ulemavu wa mwili alioupata ni alama ya mapambano yake na harakati zake za kuusema ukweli hata kama ni mchungu kama shubiri. Au sifongo kwenye kidonda.

Kwa kilichomtokea na alichojionea kutoka kwa watanzania na wasio watanzania; marafiki na wasio marafiki wake; wanasiasa na wasio wanasiasa; wanachama wa chama chake na wasio wanachama wa chama chake kimemuimarisha moyoni na kumjaza ujasiri mkuu. Nilipozungumza naye Naironi na Ubelgiji, alinitisha kwa ujasiri wake kuimarika kuliko mwanzo. Yuko imara kuliko mnara na kuliko chuma cha pua.

Lissu anarejea na ukweli wake; lugha yake; Uwakili wake; utu wake na watu wake. Atawahutubia; atawaambia; atawatetea; atawaombea na kuwapigania katika nafasi atakayojaaliwa kuipata. Lissu anarudi kwenye mapambano ya kisiasa na ya kisheria. Atakapotua tu nchini, hata Nguvu ya Kisheria ya Kaka yake Alute itakoma na Lissu ataichukua kesi yake ya Ubunge. Ataanza na hiyo kesi kwenye mapambano yake. Kwa ajili ya Ubunge wake.

Karibu nyumbani Tundu Antiphas Mughwai Lissu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma, Tanzania)
Ameishafua nchi anayokuja kuishi. Mpuuzi sana huyo
 
Na hilo jambo ndiyo linawapa homa za vipindi watesi wake hadi kuanza kufanya mambo hovyo hovyo maana wanajua fika kuwa Mungu hajawahi kukosea
Mi naamini kuna sababu kwa nini yuko hai mpaka leo, Mungu sio mjinga kumlinda na risasi zote zile. Hakika muda utaamua.
 
Anarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).

Lissu si yule yule kimwili. Amepata ulemavu wa mwili. Sasa anachechemea na kuchapia mguu. Ulemavu ameupata tarehe ya kurudi kwake mwaka juzi. Ameupata ulemavu akiwa kwenye mapambano ya kisiasa kwenye viunga vya Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lissu survived to accomplish his mission. Ulemavu wa mwili alioupata ni alama ya mapambano yake na harakati zake za kuusema ukweli hata kama ni mchungu kama shubiri. Au sifongo kwenye kidonda.

Kwa kilichomtokea na alichojionea kutoka kwa watanzania na wasio watanzania; marafiki na wasio marafiki wake; wanasiasa na wasio wanasiasa; wanachama wa chama chake na wasio wanachama wa chama chake kimemuimarisha moyoni na kumjaza ujasiri mkuu. Nilipozungumza naye Naironi na Ubelgiji, alinitisha kwa ujasiri wake kuimarika kuliko mwanzo. Yuko imara kuliko mnara na kuliko chuma cha pua.

Lissu anarejea na ukweli wake; lugha yake; Uwakili wake; utu wake na watu wake. Atawahutubia; atawaambia; atawatetea; atawaombea na kuwapigania katika nafasi atakayojaaliwa kuipata. Lissu anarudi kwenye mapambano ya kisiasa na ya kisheria. Atakapotua tu nchini, hata Nguvu ya Kisheria ya Kaka yake Alute itakoma na Lissu ataichukua kesi yake ya Ubunge. Ataanza na hiyo kesi kwenye mapambano yake. Kwa ajili ya Ubunge wake.

Karibu nyumbani Tundu Antiphas Mughwai Lissu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma, Tanzania)
Karibu kamanda uwapiganie wale uliokuwa ukiwapigania.
Nasikia wameshauza kampuni yao kwa BARRICK.
...Laiti ungekuwepo! ungehakikisha watanzania tunawalipa matrilioni!
 
"Rudi mwanangu nyumbani ufanye na kurekebisha yale yanayo nitia simanzi huku niliko. 1995 niliposema siwezi kuikabidhi nchi kwa mbwa watu hawakunielewa wakasema nawatukana, lakini natumaini sasa wameelewa nilimaanisha nini. Muumba alizuia usije huku ili ukamilishe kazi anayotaka uifanye na wazee waliotangulia huku wote wanakutaka ukaifanye hasa mzee Kingunge anasema Tanzania sio barabara ya kuhitaji nyapala bali ni nchi inahitaji Rais"
Akisikika Mwalimu akizungumza na washiriki wenzake wa kikundi cha matarumbeta kumsifu Mungu.View attachment 1195569
Vipi senet kashaenda Kuhutubia?
 
Back
Top Bottom