Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Sijawahi kuwaamini hawa wanaojiita wapinzani.... Ni kheri watawala wa sasa
Sina muda chafu. GO TO HELLMuda wote Mimi nikajua najibizana na mtu mwenye akili timamu kumbe taila.
Katika bandiko langu umeona Kuna sehemu nimeandika Neno "Facebook"?
Je Facebook unaweza ukasearch Newz tofauti na jina la mtu kumuomba urafiki?
Acha ujinga mama k ingia Google na YouTube (Umusikilize akiongea kwa Domo lake mwenyewe) uone unafiki wa ndugu yako.
RubbishUlikuwa unawatetea sana ACACIA ukakubali kulipwa ili uisaliti nchi yako ulikosea sana kaka LISU jinsi nilivyokujua nilitegemea meseji za faraja kwa mkuu wa nchi katika kipindi kigumu cha mapambano na Wazungu lakini kaka LISU ukaonyesha wazi chuki yako dhidi ya Serikali kwa Vipande thelathini ulikuwa unashirikiana kwa karibu sana na Mwanyika kuikashifu Serikali nilisikitika sana
Tundu Lissu wazungu wakiamua kumtumia mtu kutimiza masilahi yao huwa wanaangalia mtu tajiri angalia vibaraka halisi wa Wazungu wanaotegemewa na Taasisi zao za kijasusi ni Mabilionea kama akina Mo Dewji, Rostam Aziz hao ndio mawakalla wa Taasisi za kijasusi Dunia
Kaka Lissu ujasiri wako wa miaka ya 2006 umemezwa na tamaa ya Pesa
Kaka Lissu mbona ulikubali kupokea Pesa katika harakati za kushinikiza kuvunjika muungano mpaka ukadiriki kumtukana baba wa Taifa.mwalimu Nyerere alikukosea nini baba yetu amepumzika?
Kwa nini ulipokea hongo kumsafisha Lowassa?
Njoo nyumbani hakuna hata aliye na muda na wewe
Uongo unaofanywa na CCM miaka 60 umewahi kuombewa msamaha? Vipi ahadi ya mil.50 kila kijiji zimetolewa?Ulikuwa unawatetea sana ACACIA ukakubali kulipwa ili uisaliti nchi yako ulikosea sana kaka LISU jinsi nilivyokujua nilitegemea meseji za faraja kwa mkuu wa nchi katika kipindi kigumu cha mapambano na Wazungu lakini kaka LISU ukaonyesha wazi chuki yako dhidi ya Serikali kwa Vipande thelathini ulikuwa unashirikiana kwa karibu sana na Mwanyika kuikashifu Serikali nilisikitika sana
Tundu Lissu wazungu wakiamua kumtumia mtu kutimiza masilahi yao huwa wanaangalia mtu tajiri angalia vibaraka halisi wa Wazungu wanaotegemewa na Taasisi zao za kijasusi ni Mabilionea kama akina Mo Dewji, Rostam Aziz hao ndio mawakalla wa Taasisi za kijasusi Dunia
Kaka Lissu ujasiri wako wa miaka ya 2006 umemezwa na tamaa ya Pesa
Kaka Lissu mbona ulikubali kupokea Pesa katika harakati za kushinikiza kuvunjika muungano mpaka ukadiriki kumtukana baba wa Taifa.mwalimu Nyerere alikukosea nini baba yetu amepumzika?
Kwa nini ulipokea hongo kumsafisha Lowassa?
Njoo nyumbani hakuna hata aliye na muda na wewe