Cyprian Musiba ambaye ni mkurugenzi mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, leo kautaarifu umma kupitia wanasheria na mawakili maarufu hapa nchini wanakusudia kumfungulia mashtaka Tundu Lissu mahakamani hapa nchini lakini pia kuna mawakili wengine watakwenda katika mahakama ya kimataifa (The Hague) kupeleka kopi ya mashtaka dhidi ya Tundu Lissu.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha Focus on Africa kinachorushwa na BBC mwandishi aliyemuhoji anaitwa Victor Kenani wiki mbili zilizopita.
"Tundu Lissu alisema Tanzania kwa sasa ni nchi hatarishi kwa siasa pamoja na pamoja na wote wanaohoji utendaji wa Serikali. Akaongeza kusema watu wanauawa hovyo na wanatupwa baharini kwenye viroba. Tunataka atupe uthibitisho wa madai yake hayo ndani ya siku mbili zijazo kuanzia leo".
--------------
Kumbukizi: Mahojiano aliyofanya Tundu Lissu na BBC
Mkuu mimi si mpenzi wa siasa ila ulivyoa ndika niliposoma tu nikakumbuka "the law of averages" .Je watafute wastani amepelekwa mara ngapi mahakamani na ameshinda au ameshindwa mara ngapi then ,ikiwa law of average inaonyesha hushindwa watamshinda otherwise I am not a politician ila jibu wanalo it is not me it is the law of averages.Please note it is not me speaking it is the law of averages.Hivi toka lini Lisu akaogopa mahakama na lini alikutwa na hatia?
Wazalendo ni wale wanaotumia bunduki kufikisha hoja. Huyu Musiba kama hajatumwa na Sizonje basi katumwa na DAB maana hoja ni za kiwango cha umbumbumbu.Lissu anapata faida gani kuiichafua nchi kwa kitu ambacho hakina ushahidi kua serikali imehusika.y asisubiri uchunguz ufanywe illi wahusika washtakiwe???? Mzalendo gan anaeichafua nchi bila ushahid na ni mwanasheria anajua kabsa ushahid ni kitu mhim katika kutoa hukumu???
Kwa kauli za lissu zisizosubiri uchunguz anawapa hata morali majambazi kuua watu maana watakua wanajua hata tukiua itasingiziwa serikali sio hao majambaz..
Watz tuwe makini sana na tutumie akili zetu vzur hakuna mtu amependa lissu kilichomkuta but asiseme vitu ambavyo bado havijatolewa majibu ya uchunguz
Viongozi wa uwamsho kutoka zanzibar wapo jela sasa miaka mitano, serikali itupe huo ushahidi wa ugaidi huko mahakamani, kama kweli magaidi wahukumiwe. ..yaani hawa mawakili wanataka Kiki, ,waje tu the Hague natanguliza na mie hapo hapo case yangu ya uwamshoTakukuru imejaza watu mahabusu wengine wako huko zaidi ya Miezi 6 sababu ya ushahidi haujaatipatikana,kwani nini wasitafute kwanza ushahidi halafu wakishaupata ndio wapelekwe mahakamani?
Umeona? Watupe wa viongozi wa uwamsho kwanzaKwa nini uthibitisho unatakiwa ndani ya siku mbili, na si moja, saba, 14, 28, 31 au 60?
mkuu, who is this dude? naona kama yuko abnormalThe Hague...! Oooh my foot!
Cyprian Musiba ambaye ni mkurugenzi mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, leo kautaarifu umma kupitia wanasheria na mawakili maarufu hapa nchini wanakusudia kumfungulia mashtaka Tundu Lissu mahakamani hapa nchini lakini pia kuna mawakili wengine watakwenda katika mahakama ya kimataifa (The Hague) kupeleka kopi ya mashtaka dhidi ya Tundu Lissu.
Alikuwa akizungumza katika kipindi cha Focus on Africa kinachorushwa na BBC mwandishi aliyemuhoji anaitwa Victor Kenani wiki mbili zilizopita.
"Tundu Lissu alisema Tanzania kwa sasa ni nchi hatarishi kwa siasa pamoja na pamoja na wote wanaohoji utendaji wa Serikali. Akaongeza kusema watu wanauawa hovyo na wanatupwa baharini kwenye viroba. Tunataka atupe uthibitisho wa madai yake hayo ndani ya siku mbili zijazo kuanzia leo".
--------------
Kumbukizi: Mahojiano aliyofanya Tundu Lissu na BBC