Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

Afanye midahalo hata mamilioni urais kaukosa kama inamsaidia ku steam out frustration zake ruksa adahale sanaaaaaaaa aongeee kingereza weeeeeeeeeeeee mpaka akohoe.
LISSU na Chadema matapeli tuelezeni huu wa kitapeli hewa uliishia wapi


View attachment 1638243


Mbona unarusha vichwa ??? Tulia dawa ipenye , hata bado
 
Lisu anayetafuta ku steam out frustration zake baada ya kukosa uraisi na akina Halima mdee kusepa ndie mwenye siku inayoharibika anatafuta pa kupumulia walau ajione yuko still relevant

 
Subpost 2 - Instagram media - CIU9_ghAgcC ( 800 X 640 ).jpg
 
Huyu wa kwetu aalikwe atasema nini? Labda kuwe na mdahalo unaohusu mambo ya kufedhehesha wanawake ndiyo anaweza.
Habari za Lissu siyo habari tena. Amechuja siyo tu Tanzania lakini pia hata huko aliko. Watu wanakuchora sana unavyoendelea kuhangaika na kuleta habari zake humu. Jitambue na chukua hatua
 
Mwambie huyo Mdee ndie habari ya mjini kwa sasa

CHADEMA BAWACHA ndio ilibaki nguzo pekee ya CHADEMA ya kuaminiwa.

CHADEMA waliisifu sana BAWACHA kuwa eti wabunge na madiwani wote eti kwa kile kinachoitwa kununuliwa wabunge na madiwani walikuwa ni wanaume tu wanawake wa BAWACHA hawakukubali.

Msimamo huo ulisababisha wabunge wanawake wawekwe wengi kwenye majimbo kuliko wanaume na ikapata baraka ya kamati kuu ikituhumu kuwa mianaume mingi inauzika inafika bei!

Sasa hilo limetokea yuko mbunge Aida KHATAN na wabunge viti maalumu 19 wote kwa mpigo wameingia bungeni.

CHADEMA wengine wanasema wamenunuliwa wengine wanasema hao wabunge wote 20 ni maafisa kipenyo wa serikali waliokuwa ndani ya CHADEMA!

Ina maana kwa sasa CHADEMA haitawaamini wanawake wala wanaume kwa kuwatuhumu kuwa wananunulika au ni maafisa kipenyo wa serikali! Je wanaonunulika na maafisa kipenyo ndani ya CHADEMA wameisha?

Kwa muktadha huo CHADEMA sasa hivi wahangaike kujenga lichama lao hilo wanalolituhumu wenyewe kuwa limejaa wanaouzika na maafisa kipenyo
Lisu anajipanga kumhutubia waziri wa mambo ya nje wa marekani Pompeo. Siku hiyo ndio dunia itafahamu kuwa Tanzania haijafanya uchaguzi toka 2015 na viongozi waliopo ni care taker hawana uhalali.
 
Habari hii ni kwa mujibu tweet ya International Democratic Union:

We are pleased to confirm Hon. Tundu Lissu’s participation at the #IDUForum2020. Tundu Lissu is Vice-Chairman of @ChademaTz and was Presidential candidate in the recent elections in #Tanzania, which have been an example for an unfree, unjust and unrightful voting process.

Ccm sijui mrekebishe vipi makosa yenu, mmetia aibu nchi iliyokuwa mstari wa mbele kudai uhuru wa nchi majirani. Shame on you! Tamaa ya madaraka juu mpaka chini serikali za mtaa imewaponza
 
Kwa mara ya kwanza katika historia, Taifa limepata Rais ambae hata international community inamuona he's nothing to offer and share na dunia in terms of intellectuality!

Kagame na udikteta wake wote lakini alikuwa anaalikwa huko duniani kwa sababu watu waliamini ana kitu cha ku-share! The so-called Mabeberu walifahamu pamoja na udikteta wa PK lakini ukimweka mbele atetetea anachokiamini, atakitetea in a more intellectual way, kitu ambacho Dikteta Jiwe hawezi!!
Intellectually inept, politically barren and temperamentally unfit for office (the Economist).
 
Alishughulika na mtu badala ya taasisi,Huwezi shika nchi kwa kumporomoshea matusi mtu mmoja!!!!!! hata awe aisi!! Raisi ni mmojawapo tu wa watu lukuki walioko kwenye dola!!!

Lisu hakujiandaa kugombea uraisi ila aliandaa encyclopedia ya matusi ya kuporomoshea Magufuli tu hakuwa na jipya
Yap, hakujiandaa kugombea lakini angalau alitikisa utukufu na 'egos' za watu na kuwafanya wapige magoti kuomba kura!
 
Uchaguzi huu umetutia aibu na umekuwa ni mfano mmojawapo wa chaguzi mbovu kabisa duniani.

Tuseme hii ndio Legacy ya Magu kwa Taifa na dunia kwa ujumla.

Uzuri sio lazim umpende, and even whats more best hata uende kote he will still be our president
 
Hizi international forums za demokrasia duniani mbona wanawaruka CCM ? au hawa ni MABEBERU wanahamasishana kuivamia Africa kuwaibia madini yao... si bure.
Watawaibia Madini mara ngapi? Madini yote yako mikononi mwa MABEBERU baada ya kukabidhiwa kwa Mikataba feki iliyopewa kibali na serikali za Kidikteta Za Kiafrika!
 
Tundu Lissu anaifungua dunia kuhusu mambo yanayoendelea nchini ambayo kwa mwenye macho ya mbali lazima aone consequences zikija mbeleni.

Serikali kupambana na Tundu kwa vyovyote ni lazima ipate failures sababu hoja zake ni za msingi na ushahidi wa kuaminika upo hvyo cha msingi ni kukaa nae chini na kujadiliana nae jinsi ya kusonga mbele kama taifa,tofauti na hapo itegemee anguko kubwa mbele ya jumuiya ya kimataifa.

Kikwete alikuwa mwana diplomas mkubwa sana alijua kula na wapinzani kwaajili ya uhai wa taifa lake. Naona mwenye muono kama wa kikwete ni Hussain mwinyi atafanya makubwa Zanzibar
 
Kikwete alikuwa mwana diplomas mkubwa sana alijua kula na wapinzani kwaajili ya uhai wa taifa lake. Naona mwenye muono kama wa kikwete ni Hussain mwinyi atafanya makubwa Zanzibar
Angalifanya huko kwao Mkuranga , chini ya CCM tunarudi tena miaka 100 nyuma
 
Back
Top Bottom