Tundu Lissu: Kuongoza Watu Wajinga ni rahisi sana, tumekuwa Taifa la kuogopa miungu Watu badala ya kumtegemea Mungu wa Mbinguni!

Ushahidi gani mbona wenzake kwenye NGO yao ya chama mfu wanasema hivyo, alilamba hela yeye na sugu za kuunga juhudi wakaingia mitini, sugu alijenga hotel ila baadaye akasaidiwa na balozi wa marekani kurudisha hela ya rushwa aliyochukua ccm mbowe akagoma wakaanza na bilcana, mashamba yake gazeti lake vuruga vyote na hasara aliyopata ni kubwa kuzidi hiyo hela aliyochukua, hayo ndiyo maneno ya wanachama wao wansema mwenyekiti mla rushwa hafai
Kwa hiyo ukichukua rushwa wanaokudai wanavunja majengo ya ubia nakuharibu vitega uchumi na mali zinazotoa Kodi na ajira

Eti na huyu ndo think tank wa chama mama anamtegemea kwa ushauri
 
Ukweli wajinga ni wengi sana wee funguwa kajumba ka majani andika ...ukiingia humu utapata Utajiri....hiyo foleni ni kutoka Posta mpaka Pugu...
 
... huwa nipo pamoja na LISSU kwenye hoja zake nyingi lakini anapoanza kuibuka na hoja ambazo hajazitafiti au pale anapotumia ujinga wa anaowadanganya huwa ananikata 'steam'!
... hivi nani hajui kuwa mvua za mwaka huu mikoa inayojaza maji yake mto Rufiji hazikuwa za kawaida?
... kwanini na yeye, na usomi wake, atumie ujinga wa watu kupenyeza ajenda zake? ... yaani watu wanaitwa majinga na ujinga wao kutumiwa HAPOHAPO ...!
TOO MUCH! 😅
 
... huwa nipo pamoja na LISSU kwenye hoja zake nyingi lakini anapoanza kuibuka na hoja ambazo hajazitafiti au pale anapotumia ujinga wa anaowadanganya huwa ananikata 'steam'!
... hivi nani hajui kuwa mvua za mwaka huu mikoa inayojaza maji yake mto Rufiji hazikuwa za kawaida?
... kwanini na yeye, na usomi wake, atumie ujinga wa watu kupenyeza ajenda zake? ... yaani watu wanaitwa majinga na ujinga wao kutumiwa HAPOHAPO ...!
TOO MUCH! 😅
Na yeye ni mtanzania hivyo Ujinga unamuhusu 😂😂
 
Ushahidi gani mbona wenzake kwenye NGO yao ya chama mfu wanasema hivyo, alilamba hela yeye na sugu za kuunga juhudi wakaingia mitini, sugu alijenga hotel ila baadaye akasaidiwa na balozi wa marekani kurudisha hela ya rushwa aliyochukua ccm mbowe akagoma wakaanza na bilcana, mashamba yake gazeti lake vuruga vyote na hasara aliyopata ni kubwa kuzidi hiyo hela aliyochukua, hayo ndiyo maneno ya wanachama wao wansema mwenyekiti mla rushwa hafai
Ukute hapo hata kyupi hujavaa inapigwa na upepo tu
 
Back
Top Bottom