Tundu Lissu kuiondoa CCM 2020

Tundu Lissu kuiondoa CCM 2020

JGG

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
323
Reaction score
136
Ushauri kwa wapenda mabadiliko wote Tz na hasa kwa namna ya pekee chadema, ukawa, vyama vya ccm B na mwisho kabisa kwa umuhimu baadhi ya watu ndani ya ccm

Watz wengi ni hawajui jinsi nchi inavyoendeshwa zaidi wanaelewa taratibu sana (slow learners, kwa mfano uchaguzi wa 2015 ilikuwa vigumu kwa wengi kuelewa tofauti ya Lowassa wa ccm na Lowassa wa Chadema ukawa, matokeo yake wapo wapinzani wengi walioishabikia na kuichagua ccm na uchwara wake wote.

Logic ni kwamba kusubiri mpaka karibu na 2020 ndiyo tumjue mgombea watz wengi hawaelewi haraka kwa hiyo itakuwa kazi ngumu sana kumuuza, elewa kuwa 75% wapo vijijijni where poverty and ignorance are main features.

Kwa hiyo ushauri rahisi kwa maoni ni kwamba upinzani uwe na mgombea kuanzia sasa ili wanaoelewa taratibu wapate mda wa kutosha kujenga imani lakini zaidi kumfahamu yeye ni nani, 2010 Slaa aliingia dakika za mwisho wakaibuka na habari ya kupora mke wa mtu, 2015 Lowassa wakaibuka na fisadi amekimbia mara anaumwa etc etc.

Kwa siasa za upinzani Tz mpaka leo, mtu pekee ambaye ameonesha kwa vitendo kwamba anaweza kuongoza kujenga Tz endelevu ni Tundu Lissu. Akiwekwa sokoni leo, kabla ya 2020 mchezo utakuwa tayari umeisha. Inaweza kuwa mtu lakini ni lazima kumuweka sokoni sasa.
 
Umewaza kama mimi ila bado ni Alfajili sana kuzungumzia haya mkuu!
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Hapo umenena mkubwa......Tundu Lissu ni mtu sahihi!!

Tundu Lissu ni mwanasiasa asiyeogopa changamoto toka kwa wapinzani wake.

Si sawa na huyu wa CCM aitwaye Pombe anayeonekana kuwa yuko ndi ndi ndi wakati wote hata kuogopa na kukimbia kivuli chake mwenyewe!!

Nchi ikiwa chini ya Tundu Lissu, hakika watakaoweza kufanya mikutano na maandamano hata kama ni usiku na mchana ni ruksa!!

Huyu jamaa ni muumini halisi wa demokrasia na anaijua na kuiheshimu vilivyo sheria mama ya nchi kwa maana ya katiba!!

Anaheshimu uhuru wa watu wa kutoa maoni, kujieleza, kukosoa na kupongeza!!

Huyu wa sasa wa CCM ni "mtukufu uchwara" anayedhani kuwa yeye ni "chaguo la Mungu" na kwa hiyo hakosei!!

Ugonjwa wake mbaya kabisa na wa hatari ni kudhani kuwa yeye kweli ni "mtakatifu" asiyekosea na kwa maana hiyo anachotaka kusikia toka kwa watu wake anaowaongoza ni sifa njema, sifa njema, sifa njema tu hata pale ambapo hazipo!!

Kinyume na sifa njema, kwake utakuwa umeingia ktk "zone" ya KUMJARIBU maana yeye kamwe huwa hajaribiwi kama kiatu na utakuwa umeamusha hasira na mtu aweza hata kuuliwa hapo!!
 
Lisu na Magu mie kwangu ni walewale.
Ni wakurupukaji, wapenda sifa....
Hawana simile hawa watu... Leo huyo jamaa anaonekana tofauti kwa kuwa yuko nje ya uongozi,. Ila akiwa kiongozi ( Raisi) huyo jamaa naye huwa hakubali kushindwa na atakayemshinda atakiona....
Ni mtazamo wangu.....
 
Lisu na Magu mie kwangu ni walewale.
Ni wakurupukaji, wapenda sifa....
Hawana simile hawa watu... Leo huyo jamaa anaonekana tofauti kwa kuwa yuko nje ya uongozi,. Ila akiwa kiongozi ( Raisi) huyo jamaa naye huwa hakubali kushindwa na atakayemshinda atakiona....
Ni mtazamo wangu.....
Basi pendekeza mwingine maana lengo kuu ni kuwa na mtu ambaye yuko sokoni kuanzia sasa ili awe fully scrutinised
 
Lisu na Magu mie kwangu ni walewale.
Ni wakurupukaji, wapenda sifa....
Hawana simile hawa watu... Leo huyo jamaa anaonekana tofauti kwa kuwa yuko nje ya uongozi,. Ila akiwa kiongozi ( Raisi) huyo jamaa naye huwa hakubali kushindwa na atakayemshinda atakiona....
Ni mtazamo wangu.....

Kinyume chake ni kuwa, ingalau huyu (Tundu Lissu) huyatazama na kupambana na situation yoyote ktk muktadha wa kuzingatia sheria za nchi!!

Huyu wa CCM aitwaye Pombe, yeye ni 100% nguvu pasipo tafakuri na akili ktk muktadha wa sheria!!

Na style hii ya uongozi wa Pombe ni 100% tabia za madikteta!!
 
Ukuta umebomoka hela ya tofali nyingine hakuna nani amekula hizi hela?
 
Unawawekea shati golini CCM labda muwekeni bosheni kana Dr. Slaa Ili gear za angani ziwasaidie km juzi. Huyu Hana record ya kuletea watu Maendeleo katika jimbo lake zaidi ya utata usio Na maana wala tija kwa Maendeleo. Kesi anazoshinda Ni za kijinga wanazomuwekea kuppoteza muda.
Nchi inahitaji Maendeleo sio ubishi Na utata, Lissu mwacheni huko kwenye chama chenu Na mchagueni kuwa Mwenyekiti.
 
Na 2020 wapimeni kwa midahalo..atakaekimbilia kusikojulikana atafute kazi nyingine ya kufanya..
 
Unawawekea shati golini CCM labda muwekeni bosheni kana Dr. Slaa Ili gear za angani ziwasaidie km juzi. Huyu Hana record ya kuletea watu Maendeleo katika jimbo lake zaidi ya utata usio Na maana wala tija kwa Maendeleo. Kesi anazoshinda Ni za kijinga wanazomuwekea kuppoteza muda.
Nchi inahitaji Maendeleo sio ubishi Na utata, Lissu mwacheni huko kwenye chama chenu Na mchagueni kuwa Mwenyekiti.
Km ni shati si ndo neema kwa chama chenu cha uchwara? Au utaka style ya kuvizia ili watu wasipate mda wa kumfahamu mtu anayetaka kuwa raisi wa nchi km alivyofanya jpm? Unafikiri angetangaza mapema anataka kuwa rais watz wakamchunguza ingekuwaje? Hapo alipo anajua fika mwisho wake urais 2020, hachaguliki tena maana waliomchagua hawakupata mda wa kumfahamu
 
Back
Top Bottom