Tundu Lissu is Very Expensive

Tundu Lissu is Very Expensive

Toosweet

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2012
Posts
2,140
Reaction score
1,982
Heshima Kwenu,

Nimesoma maelezo ya Mchungaji Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini kuhusu ugumu wa safari ya kumpeleka TL Narobi, gharama za fedha na kujitolea, nimeshangaa.

Kwa mujiibu wa Msigwa, mpaka sasa wametumia kiasi cha TSh. 160 milioni kwa matibabu tu. Wakati wa safari Mh. Mbowe alishikilia mirija ya mtungi wa gesi kwa kuwa ilikuwa imetoboka, Much. Msigwa alishikilia kitanda kwa kuwa kilifyatuka. Madaktati walikuwa na kazi ya kushikilia dripu za maji.

Kumekuwa na juhudi za kutafuta ndege maalum(air ambulance) kwa ajili ya kumpeleka Mh. Lisu Marekani au Uingereza na gharama ya usafiri ni $ 250,000 au Tsh. 550 milioni ingawa,imeshauriwa kusubiri. Hizi ni fedha nyingi.

Waheshimiwa wabunge wote wamechanga nusu ya posho zao za siku. Wananchi nao kwa ujumla wao wamechanga kupitia simu.
Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa. Hizi si gharama ndogo.

Chama cha Wanasheria wa Uingereza kutuma barua Tanzania kuhoji mkasa wa Tundu Lisu kunaonesha thamani na umuhimu wake kwa wananchi, wabunge wenzake na serikali pia. Kuna watu wamebeba mzigo kwa ajili ya maombi.
Watu wengi wamejitolea muda, hali na mali.
Huu ndiyo uzalendo wa kweli.
 
Waliopanga au kushiriki kwa namna yoyote kutaka kuondoa uhai wa huyu mtenda haki wa nchi hii, Mungu ataonyesha hasira zake juu Yao, yetu macho.
 
Heshima Kwenu,

Nimesoma maelezo ya Mchungaji Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini kuhusu ugumu wa safari ya kumpeleka TL Narobi, gharama za fedha na kujitolea, nimeshangaa.

Kwa mujiibu wa Msigwa, mpaka sasa wametumia kiasi cha TSh. 160 milioni kwa matibabu tu. Wakati wa safari Mh. Mbowe alishikilia mirija ya mtungi wa gesi kwa kuwa ilikuwa imetoboka, Much. Msigwa alishikilia kitanda kwa kuwa kilifyatuka. Madaktati walikuwa na kazi ya kushikilia dripu za maji.

Kumekuwa na juhudi za kutafuta ndege maalum(air ambulance) kwa ajili ya kumpeleka Mh. Lisu Marekani au Uingereza na gharama ya usafiri ni $ 250,000 au Tsh. 550 milioni ingawa,imeshauriwa kusubiri. Hizi ni fedha nyingi.

Waheshimiwa wabunge wote wamechanga nusu ya posho zao za siku. Wananchi nao kwa ujumla wao wamechanga kupitia simu.
Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa. Hizi si gharama ndogo.

Chama cha Wanasheria wa Uingereza kutuma barua Tanzania kuhoji mkasa wa Tundu Lisu kunaonesha thamani na umuhimu wake kwa wananchi, wabunge wenzake na serikali pia. Kuna watu wamebeba mzigo kwa ajili ya maombi.
Watu wengi wamejitolea muda, hali na mali.
Huu ndiyo uzalendo wa kweli.
Mkuu pigwa risasi nane mwilini na jamaa wasiojulikana, na wewe tukuchangie.
Ubinadamu hauna vyama.
 
Heshima Kwenu,

Nimesoma maelezo ya Mchungaji Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini kuhusu ugumu wa safari ya kumpeleka TL Narobi, gharama za fedha na kujitolea, nimeshangaa.

Kwa mujiibu wa Msigwa, mpaka sasa wametumia kiasi cha TSh. 160 milioni kwa matibabu tu. Wakati wa safari Mh. Mbowe alishikilia mirija ya mtungi wa gesi kwa kuwa ilikuwa imetoboka, Much. Msigwa alishikilia kitanda kwa kuwa kilifyatuka. Madaktati walikuwa na kazi ya kushikilia dripu za maji.

Kumekuwa na juhudi za kutafuta ndege maalum(air ambulance) kwa ajili ya kumpeleka Mh. Lisu Marekani au Uingereza na gharama ya usafiri ni $ 250,000 au Tsh. 550 milioni ingawa,imeshauriwa kusubiri. Hizi ni fedha nyingi.

Waheshimiwa wabunge wote wamechanga nusu ya posho zao za siku. Wananchi nao kwa ujumla wao wamechanga kupitia simu.
Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa. Hizi si gharama ndogo.

Chama cha Wanasheria wa Uingereza kutuma barua Tanzania kuhoji mkasa wa Tundu Lisu kunaonesha thamani na umuhimu wake kwa wananchi, wabunge wenzake na serikali pia. Kuna watu wamebeba mzigo kwa ajili ya maombi.
Watu wengi wamejitolea muda, hali na mali.
Huu ndiyo uzalendo wa kweli.

Kuna msemo unasema 'Mtumikie kafir, upate mtaji wako'. Kama kweli viongozi wa CHADEMA kuokoa maisha ya Lissu wasingechagua wapi pa kupata msaada, ili mradi mgonjwa apate matibabu bora. Kama italazimu kuongea na serikali hata kama wana mikwaruzo nao wangefanya hivyo kwa kutambua wanachotaka ni matibabu. Lakini inanekana viongozi wa CHADEMA kususa kwa kiburi ilihali hawana uwezo. Huwezi kuringa wakati mgonjwa wako ni 'Critical but stable'.

Halafu Msigwa anasema kuna gharama za "Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa". Hivi kuna ulazima wa kuwa na utitiri wa viongozi Nairobi?
 
Kuna msemo unasema 'Mtumikie kafir, upate mtaji wako'. Kama kweli viongozi wa CHADEMA kuokoa maisha ya Lissu wasingechagua wapi pa kupata msaada, ili mradi mgonjwa apate matibabu bora. Kama italazimu kuongea na serikali hata kama wana mikwaruzo nao wangefanya hivyo kwa kutambua wanachotaka ni matibabu. Lakini inanekana viongozi wa CHADEMA kususa kwa kiburi ilihali hawana uwezo. Huwezi kuringa wakati mgonjwa wako ni 'Critical but stable'.

Halafu Msigwa anasema kuna gharama za "Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa". Hivi kuna ulazima wa kuwa na utitiri wa viongozi Nairobi?
Pesa yoyote kutokana na watu wa ccm haitakubalika , wasiwasi wako nini ? Hela yenu si mnanunulia risasi korea kaskazini ? Endeleeni tu
 
Heshima Kwenu,

Nimesoma maelezo ya Mchungaji Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini kuhusu ugumu wa safari ya kumpeleka TL Narobi, gharama za fedha na kujitolea, nimeshangaa.

Kwa mujiibu wa Msigwa, mpaka sasa wametumia kiasi cha TSh. 160 milioni kwa matibabu tu. Wakati wa safari Mh. Mbowe alishikilia mirija ya mtungi wa gesi kwa kuwa ilikuwa imetoboka, Much. Msigwa alishikilia kitanda kwa kuwa kilifyatuka. Madaktati walikuwa na kazi ya kushikilia dripu za maji.

Kumekuwa na juhudi za kutafuta ndege maalum(air ambulance) kwa ajili ya kumpeleka Mh. Lisu Marekani au Uingereza na gharama ya usafiri ni $ 250,000 au Tsh. 550 milioni ingawa,imeshauriwa kusubiri. Hizi ni fedha nyingi.

Waheshimiwa wabunge wote wamechanga nusu ya posho zao za siku. Wananchi nao kwa ujumla wao wamechanga kupitia simu.
Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa. Hizi si gharama ndogo.

Chama cha Wanasheria wa Uingereza kutuma barua Tanzania kuhoji mkasa wa Tundu Lisu kunaonesha thamani na umuhimu wake kwa wananchi, wabunge wenzake na serikali pia. Kuna watu wamebeba mzigo kwa ajili ya maombi.
Watu wengi wamejitolea muda, hali na mali.
Huu ndiyo uzalendo wa kweli.

Kwa information hizo nusu posho hazijafika naona walikuwa wanasubiria kutoa rambi rambi
 
Pesa yoyote kutokana na watu wa ccm haitakubalika , wasiwasi wako nini ? Hela yenu si mnanunulia risasi korea kaskazini ? Endeleeni tu

Kwa hiyo posho za wabunge wa CCM mlitupa chooni?

Ushauri wa bure, choice have consequences; unakataa msaada wakati huna uwezo wa kumhudumia mgonjwa. What do you expect?
 
Habari mbaya kwa waliotaka kumuua,.
Upande wangu amenichukulia mudasana ni mtu muhimu sana kwangu kanifanya nimejua sheria Lisu kwanza Sizonje na Bashite baadae.
Hongera kwa kujitoa
 
Waliopanga au kushiriki kwa namna yoyote kutaka kuondoa uhai wa huyu mtenda haki wa nchi hii, Mungu ataonyesha hasira zake juu Yao, yetu macho.
Ni kweli, kila silaha itakayoinuka juu yake haitafanikiwa na kila ulimi utakaohukumu utahesabika kuwa mkosa. Huu ni urithi wa wapenda haki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom