MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 295
- 679
Joel K. Nkurlu
Ikungi, Singida
Turudishe historia nyuma kidogo miaka ya 2010 ambapo Lissu alichaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA.
Lissu alikuta jimbo hilo likiwa lina mwanga wa kusonga mbele kimaendeleo lakini yeye akaondoa mwanga huo na kusababisha jimbo hilo kuwa na giza totoro. Kwa leo nitajikita kueleza baadhi ya mambo aliyoyafanya Bwana huyu kwa wananchi wa Singida Mashariki:
Kwanza, Lissu hakufanya juhudi zozote za kutatua au kuonesha nia ya kutatua kero ya maji jimboni kwake. Mpaka anavuliwa ubunge, LISSU hakuhamasisha wala kuwasaidia wananchi wake kuchimba visima vya maji katika maeneo yao ili wapate maji safi na salama, ikumbukwe baadhi ya maeneo kuna jimboni kwake kuna chemchem za maji hasa maeneo ya Dung’unyi. Kipindi chote hicho hata jimboni kwake alikuwa haonekani, akiulizwa alidai eti yuko busy kukijenga chama.
Pili, ukifuatilia uchangiaji wa Lissu akiwa Bungeni hutaweza kusikia akiwa anaeleza kuhusu changamoto za wananchi walio mtuma kuwawakilisha Bungeni, utamsikia akiwatetea wachimbaji wa madini wa kigeni na kuikejeli Serikali tu, hali iliyowapelekea wananchi wajimboni kwake kukosa muwakilishi wa changamoto zao Bungeni.
Tatu, Lissu alijilimbikizia fedha za mfuko wa jimbo kwa matumizi yake binafsi na wamilia yake, wala hakuwahi kuchangia maendeleo jimboni kwake kwa kutoa fedha au vifaa vya kusaidia katika kuleta maendeleo kwa wananchi hal iliyosababisha jimbo hilo kudumaa kimaendeleo.
Lissu alishindwa hata kusuluhisha mgogoro wa ardhi uliokuwepo kati ya wananchi wa jimbo lake mpaka kupelekea mwaka 2016 mwananchi mmoja kuliwa kwa kuchomwa kisu kwa sababu ya mgogoro wa ardhi.
Ikungi, Singida
Turudishe historia nyuma kidogo miaka ya 2010 ambapo Lissu alichaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA.
Lissu alikuta jimbo hilo likiwa lina mwanga wa kusonga mbele kimaendeleo lakini yeye akaondoa mwanga huo na kusababisha jimbo hilo kuwa na giza totoro. Kwa leo nitajikita kueleza baadhi ya mambo aliyoyafanya Bwana huyu kwa wananchi wa Singida Mashariki:
Kwanza, Lissu hakufanya juhudi zozote za kutatua au kuonesha nia ya kutatua kero ya maji jimboni kwake. Mpaka anavuliwa ubunge, LISSU hakuhamasisha wala kuwasaidia wananchi wake kuchimba visima vya maji katika maeneo yao ili wapate maji safi na salama, ikumbukwe baadhi ya maeneo kuna jimboni kwake kuna chemchem za maji hasa maeneo ya Dung’unyi. Kipindi chote hicho hata jimboni kwake alikuwa haonekani, akiulizwa alidai eti yuko busy kukijenga chama.
Pili, ukifuatilia uchangiaji wa Lissu akiwa Bungeni hutaweza kusikia akiwa anaeleza kuhusu changamoto za wananchi walio mtuma kuwawakilisha Bungeni, utamsikia akiwatetea wachimbaji wa madini wa kigeni na kuikejeli Serikali tu, hali iliyowapelekea wananchi wajimboni kwake kukosa muwakilishi wa changamoto zao Bungeni.
Tatu, Lissu alijilimbikizia fedha za mfuko wa jimbo kwa matumizi yake binafsi na wamilia yake, wala hakuwahi kuchangia maendeleo jimboni kwake kwa kutoa fedha au vifaa vya kusaidia katika kuleta maendeleo kwa wananchi hal iliyosababisha jimbo hilo kudumaa kimaendeleo.
Lissu alishindwa hata kusuluhisha mgogoro wa ardhi uliokuwepo kati ya wananchi wa jimbo lake mpaka kupelekea mwaka 2016 mwananchi mmoja kuliwa kwa kuchomwa kisu kwa sababu ya mgogoro wa ardhi.