Tundu Lissu atilia mashaka uteuzi wa Jaji Mustafa Siyani kuwa Jaji kiongozi, aufananisha na Rushwa

Hata sijui dunia gani anayoiongelea huyu mbelgiji feki.
Hunaga Akili kabisa wewe jamaa.
Hivi unashindwa hata kufahamu kuwa mabalozi wanawakilisha nchi zao?

Hujui kuwa mabalozi wote waliopo hapa wanaifuatilia kesi I hii,hujui kwamba hata balozi wa Rwanda anaifuatilia kesi hii?
Hujui kwamba hata balozi wa Uganda anaifuatilia kesi hii?
Hujui kwamba hata balozi wa Libya,Misri,SA na Russia wanaifuatilia kesi hii?

Achilia mbali hao mabalozi wa kibeberu wanaoenda Hadi mahakamani. Na hao sasa ndio wamefanya kesi hii ifuatiliwe na Kila Balozi na kwa kuwa mabalozi wanaifuatilia maana yake ni kuwa kesi hii inafuatiliwa na Dunia mzima.
Umeelewa wewe mgonjwa Mtambuka?
 
Hunaga Akili kabisa wewe jamaa.
Hivi unashindwa hata kufahamu kuwa mabalozi wanawakilisha nchi zao?

Hujui kuwa mabalozi wote waliopo hapa wanaifuatilia kesi I hii,hujui kwamba hata balozi wa Rwanda anaifuatilia kesi hii?
Hujui kwamba hata balozi wa Uganda anaifuatilia kesi hii?
Hujui kwamba hata balozi wa Libya,Misri,SA na Russia wanaifuatilia kesi hii?

Achilia mbali hao mabalozi wa kibeberu wanaoenda Hadi mahakamani. Na hao sasa ndio wamefanya kesi hii ifuatiliwe na Kila Balozi na kwa kuwa mabalozi wanaifuatilia maana yake ni kuwa kesi hii inafuatiliwa na Dunia mzima.
Umeelewa wewe mgonjwa Mtambuka?
Hehehe...so what? kwamba wakifatilia kesi ndo kunachange ushahidi wa jinai utaowasilishwa mahakamani? au sio nyie mnaolalamikia uhuru wa mahakama kila uchwao? kwamba wakihudhuria mahakamani kutamfanya Jaji asitende haki? Mbona mnaogopa sana tatizo nini kama hana hatia si atashinda kesi?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwa hili Bi. Mkubwa kakosea sana tena sana. Sijui anashauriwa nini. Kaendelea kabisa kuigoroga hii kesi. Bila katiba mpya tutatiwa sana midole ya machoni.
Mkuu 'Rufiji dam',

Kama safari hii Tanzania (nina maana ya wananchi wake) itanyamaza kimya na kuacha mambo yaendeshwe na CCM kama kawaida kana kwamba raia sote hatuoni ubaya wowote na hatuoni maana ya kuwa na Katiba Mpya, basi sisi tutakuwa ni taifa la kipekee sana duniani.
 
Mkuu 'Rufiji dam',

Kama safari hii Tanzania (nina maana ya wananchi wake) itanyamaza kimya na kuacha mambo yaendeshwe na CCM kama kawaida kana kwamba raia sote hatuoni ubaya wowote na hatuoni maana ya kuwa na Katiba Mpya, basi sisi tutakuwa ni taifa la kipekee sana duniani.
Wanamsemo wao kama Wananchi wanapata maji na wtoto wanapata elimu bure katiba mpya ya nini?
 
Hunaga Akili kabisa wewe jamaa.
Hivi unashindwa hata kufahamu kuwa mabalozi wanawakilisha nchi zao?

Hujui kuwa mabalozi wote waliopo hapa wanaifuatilia kesi I hii,hujui kwamba hata balozi wa Rwanda anaifuatilia kesi hii?
Hujui kwamba hata balozi wa Uganda anaifuatilia kesi hii?
Hujui kwamba hata balozi wa Libya,Misri,SA na Russia wanaifuatilia kesi hii?

Achilia mbali hao mabalozi wa kibeberu wanaoenda Hadi mahakamani. Na hao sasa ndio wamefanya kesi hii ifuatiliwe na Kila Balozi na kwa kuwa mabalozi wanaifuatilia maana yake ni kuwa kesi hii inafuatiliwa na Dunia mzima.
Umeelewa wewe mgonjwa Mtambuka?
Sasa mbona unaandika insha?
 
Mbona ingependeza sana mkapewa uwanja wenu pekee mnyukane bila refa?

Mara nyingi mnakera sana mnapochafua maongezi hapa kwenye jukwaa hili la Siasa.
Mnaokera ni nyie wachadema mnaotaka kulazimisha jukwaa liwe kitengo cha propaganda cha chama. Acheni jukwaa liwe huru.
Nadhani mods wote ni makamanda wakereketwa!
 
Tundu Lissu hachoki tu kurudirudia msemo wake..."dunia nzima inaangalia"....ha ha ha ha

Dunia imeangalia.....na inaangalia na kuridhishwa na kipenzi chetu mh.SSH.....hakuna kitisho chochote kile.....

N.B

Shirika la ndege la USWIZI limetua na watalii wa kumwaga
fala Yule , psycho.....inamchanganya!atulie huko aliko,aachane na taifa letu!!,
 
Moderator naomba msaada wa kumu ignore huyu masikini , hii app ya jf inanisumbua kidogo , sitaki matatizo na hawa masikini kwa sababu ni dhambi kuwaandama , najiepusha na shida za jf .

unajua sisi wengine tumebeba dhamana za Chadema , sasa kuzuiliwa jf kwa sababu za kapuku kama huyu sidhani kama ni halali
dhamana zipi umebeba mkuu,tutakufuatilia kwa ukaribu,huenda una mawili matatu,ya gaidi mbowe!!!!!!
 
Tundu lisu na genge lake la kihuni wanapat shida Sana eti dunia nzima inaangalia kesi ya gaidi mbowe? Wakati wanarizika na mama anavyoongoza kwa democrasia ya kweli wao tayari wazungu washawaona wahuni tu
TuM
Hao wazungu ndivyo walivyokuambia?Kama wameridhika,huko mahakamani wanatuma wawakilishi kufanya nin?Au hujaona wakimpa Mbowe faraja kuwa asikate tamaa?
 
View attachment 1969690

Akihojiwa huko CLUBHOUSE kwenye mahojiano yanayoendelea muda huu , Mh Tundu Lissu Amedai kwamba kwa namna yoyote ile , uteuzi wa jaji huyu anayesimamia Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu , tena ikiwa imesalia siku chache kabla ya uamuzi wa Kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ni sawa na Rushwa .

Bali Lissu ameonya kwamba , sarakasi zozote kwenye kesi ya Mbowe itaumbua vibaya sana Uongozi wa Awamu ya 6 kwa vile Dunia nzima inafuatilia kwa karibu sana kesi hii na Nchi ya Tanzania kuliko wakati wowote tangu nchi hii ivumbuliwe .
Me nlijua karudi kusikikiliza kesi ya Mwenyekit kumbe bado yuko Kwa mabeberu
 
View attachment 1969690

Akihojiwa huko CLUBHOUSE kwenye mahojiano yanayoendelea muda huu , Mh Tundu Lissu Amedai kwamba kwa namna yoyote ile , uteuzi wa jaji huyu anayesimamia Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu , tena ikiwa imesalia siku chache kabla ya uamuzi wa Kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ni sawa na Rushwa .

Bali Lissu ameonya kwamba , sarakasi zozote kwenye kesi ya Mbowe itaumbua vibaya sana Uongozi wa Awamu ya 6 kwa vile Dunia nzima inafuatilia kwa karibu sana kesi hii na Nchi ya Tanzania kuliko wakati wowote tangu nchi hii ivumbuliwe .
Mbowe na serikali lao moja. Kama Lisu hujang'amua hilo basi fumbua macho na ulijue hilo. Hapo wanafunika kombe la Mbowe kukataza chama kushiriki uchaguzi. Na ili msilijad iko live hilo Mbowe kacishwa kesi ya kizushi.
 
Ubovu wa mfumo wa uteuzi na mapungufu ya katiba yaainishwa katika mjadala mzima kuhusu uteuzi wa majaji na (timing) uteuzi ulipofanyika katikati ya kesi kubwa ya kihistoria namba 16 / 2021 ya Uhujumu Uchumi.
 
Hierarchy of courts in Tanzania Mainland​
Muundo wa Mahakama Tanzania Bara
spacer.gif
The Magistrates Courts Act of 1963 strengthened the court system established in the colonial era. This system remained undisturbed until 1984 when the present court system was introduced through the Magistrates Court Act 1984. In 1977 when the Constitution of the URT came into force and in 1979 when the Court of Appeal of Tanzania was established there were significant developments in the legal system. These particular developments created the High Courts of Tanzania mainland, that of Zanzibar and the Court of Appeal, a union matter. The Principal Judge (Jaji Kiongozi) is the Head of the High Court of Tanzania Mainland. The High Court was first established by Article 17 (1) of the Tanganyika Order-in-Council, 1920. The High Court now derives its establishment from Article 108 (1) of the 1977 Union Constitution as the High Court of the United Republic. Administratively, the High Court is headed by the Principal Judge (Jaji Kiongozi), a special assistant to the Chief Justice. The Judicature and Application of the Law Ordinance, No. 7 of 1920, established The High Court of Tanzania mainland. It was then adopted by the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977 under Article 107 of Chapter 5, Part I of the Constitution and it has unlimited original jurisdiction to entertain all types of cases and appeals, there from go to the Court of Appeal.
It is the court of first instance in cases of murder, treason and armed robbery and an appellate court in all cases from Districts and Magistrates’ courts. The High Court exercise original jurisdiction on matters of a constitutional nature and have powers to entertain election petitions. The High Court has specialized divisions like The Commercial, Land and Labour. The High Court also has Admiralty jurisdiction, to make orders and to hear and determine claims, proceedings and other matters as conferred by the Merchant Shipping Act, No.43 of 1967.
Source: Tovuti Kuu ya Serikali: Muundo wa Mahakama Tanzania Bara
 
Hii ndiyo hasara kubwa ya mapambano,kutengeneza Fitina chuki na uzandiki Kwa kuvaa koti kubwa la uanaharakati.Tumeacha kusikia uchambuzi wa mambo ya kisiasa na kuonesha njia sahihi ya kuwatoa watanzania kwenye mkwamo SASA kila Siku ni lawama malalamiko,kujibu KESI,kulialia nk.
Sidhani kama hiyo ni njia sahihi ya kufikia MALENGO ya kutawala nchi ili kuwatendea yaliyo mema wananchi na kuwawezesha kuwa na nafuu ya kiuchumi na kijamii.
 
Hierarchy of courts in Tanzania Mainland​
The Magistrates Courts Act of 1963 strengthened the court system established in the colonial era. This system remained undisturbed until 1984 when the present court system was introduced through the Magistrates Court Act 1984. In 1977 when the Constitution of the URT came into force and in 1979 when the Court of Appeal of Tanzania was established there were significant developments in the legal system. These particular developments created the High Courts of Tanzania mainland, that of Zanzibar and the Court of Appeal, a union matter. The Principal Judge (Jaji Kiongozi) is the Head of the High Court of Tanzania Mainland. The High Court was first established by Article 17 (1) of the Tanganyika Order-in-Council, 1920. The High Court now derives its establishment from Article 108 (1) of the 1977 Union Constitution as the High Court of the United Republic. Administratively, the High Court is headed by the Principal Judge (Jaji Kiongozi), a special assistant to the Chief Justice. The Judicature and Application of the Law Ordinance, No. 7 of 1920, established The High Court of Tanzania mainland. It was then adopted by the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977 under Article 107 of Chapter 5, Part I of the Constitution and it has unlimited original jurisdiction to entertain all types of cases and appeals, there from go to the Court of Appeal.
It is the court of first instance in cases of murder, treason and armed robbery and an appellate court in all cases from Districts and Magistrates’ courts. The High Court exercise original jurisdiction on matters of a constitutional nature and have powers to entertain election petitions. The High Court has specialized divisions like The Commercial, Land and Labour. The High Court also has Admiralty jurisdiction, to make orders and to hear and determine claims, proceedings and other matters as conferred by the Merchant Shipping Act, No.43 of 1967.
Source: Tovuti Kuu ya Serikali: Muundo wa Mahakama Tanzania Bara

Courts \ Court of Appeal​



1.0 UTANGULIZI​

  • Mahakama ya Rufani ilianzishwa tarehe 15 Agosti, 1979 baada ya kufa kwa iliyokuwa Mahakama ya Afrika Mashariki. Mahakama hii imeanzishwa kwa mujibu wa ibara ya 117(1) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
  • Mahakama ya Rufani ina mamlaka Tanzania bara na Zanzibar.
  • Kimsingi ndiyo Mahakama ya mwisho katika utoaji wa haki nchini.
  • Mahakama hii haina mamlaka ya awali (Original jurisdiction) isipokuwa ina mamlaka ya kusikiliza na kutoa maamuzi ya rufaa, maombi ya mapitio , marejeo na masahihisho.
  • Rufaa na maombi yanayowasilishwa Mahakama ya Rufani ni kutoka katika Mahakama Kuu Tanzania bara, Mahakama Kuu Zanzibar na kutoka kwenye mabaraza maalumu kama vile Baraza la Rufaa za Kodi.

2.0 DIRA​

Dira ya Mahakama ya Rufani ni ile ya Mahakama ya Tanzania: Haki sawa kwa wote na kwa wakati. Mahakama ya Rufani inalenga kutoa huduma bora kwa ustadi na weledi wa hali ya juu.

3.0 UONGOZI KATIKA MAHAKAMA YA RUFANI​

 
Back
Top Bottom