Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,794
Kwa hili Bi. Mkubwa kakosea sana tena sana. Sijui anashauriwa nini. Kaendelea kabisa kuigoroga hii kesi. Bila katiba mpya tutatiwa sana midole ya machoni.Nahisi ni strategy za staha ili Jaji Siyani asijisikie vibaya au akaaibika.