Tundu Lissu ataka Rais Magufuli asusiwe kila mahali na mataifa mengine duniani

Naheshimu maoni yako, ila hainiondolei ukweli kua Lisu si mzalendo kama wengi wanavyomsifia na kumpamba tena anayetaka inchi yangu itengwe hapana kwakweli amenitoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata mimi nimejiuliza haya maswali hadi nimechoka yaani mtu anapataje ujasiri wa kumnyooshea kidole mwenziwe wakati huko kwao kuanzia yule DJ wake hadi mtu wa mwisho wanamakando ata hayawezi kuzungumzwa hapa jamvini. TL asijione ana akili kuliko waTanzania wote anaweza kuwa anaakili kuliko CDM wote but sio wa Tz wote.
 
Uza huo ubongo ww unakaa nao kwa hasara. Akina Masamaki tuliambiwa ni majizi, mbona wote wameachiwa tena kwa serekali kusema haina haja ya kuendelea na kesi?

Unajuaje pengine kuna mkono wa mtu mkubwa kushinda Magufuli. . Huwezi kuwa na nyumba 75 mtumishi wa serikali, HUYU lazima alikuwa na connection.. kesi ya contsiner 200 iliishia wapi? Hujui kama kuna vitisho gani kwa Rais Magufuli kusema atawalinda MARAIS wa zamani ambao kila mala wanamkumbusha walimteuwa. Turudi nyuma, Watanzania hatuna choice, kwenye upinzani kuna watu wachache sana wenye nguvu za kuleta mabadiliko. Unaamini Lowassa anaweza kuleta mabadiliko kwenye Nchi hii? Alivyo dhaifu na historia ya ufisadi aliyonayo. Ni tajiri mkubwa, hana kiwanda, alijipatiaje Utajiri? Kuna mambo mengi yanawaudhi Watanzania wengi anayoyafanya Rais Magufuli, kutokufuata sheria, na mawazo yake ya kutokuona mbali, lakini what alternative do we have?
 

Edit kichwa cha habari andika wanaCCM wamjia juu Lissu,kwani watanzania tunampongeza Lissu kwa kusema ukweli bila kuficha
 
Hajaongelea kuhusu MIGA?

Tanzania ni nchi huru...hata ikisusiwa na dunia nzima bado tutasimama kama nchi.

So let him shut up and live!
SEMA TUTASIMAMA KAMA ZIMBABWE, andaeni makapu ya kubebea pesa za kununulia mikate
 
Katika mijitu isiyo na akili ya maisha ni Tundu Lissu,ulitaka uwanja wa ndege ujengwe Dar? Kwani Chato hakuna watanzania wanaishi? Tundu Lissu unaishi kwa mastress ya kujitafutia kila siku. Kwani wewe nani hadi mataifa ya kigeni yakutii? Vipi kwani ile kesi yenu kule ICC iliishia wapi? Tupe kwanza majibu ya hiyo kesi ndo uteleze mambo mengine vinginevyo inabidi ukapimwe akili wewe si mzima...!!
 
Sasa huyu mzee wa Singida kachanganyikiwa. Yaani ameshindwa kuwashawishi waTZ wamchukie rais wao sasa anataka wananchi wa mataifa mengine wamsusie!

Post sent using JamiiForums mobile app
LAZIMA KUWE NA SPIDI GAVANA PAHALA, TUNDU ANASAIDIA KUIWEKA. SAFI
 
Kuna vitu vichache mzee akibadili video hii itakosa pakushikia, ila sauti hii ikidharauliwa ni hatari.
 
Katiba ishasema ni mihula miwili tu
Naona kuna watu wanalipwa pesa na ccm chini kwa chini ili kutoa matamko ya kidkiteta. ya kumwambia mtawala atawale milele
Kuna kampeni imeanzishwa inaitwa baki ******** ambayo inafadhiliwa na chama cha mapinduzi chini ya bwana yule
Hatutaruhusu nchi kuingia kwenye udikteta kama huu wa sasa hivi
Si walisema mikutano ya hadhara ni marufuku? Sasa imekuaje tena?
Operesheni yoyote itakayotangazwa na upinzani nitaunga mkono kwa nguvu zote
Ni mpumbavu tu ndo atakubali kutawaliwa kidkteta na kimabavu
Mpaka sasa hivi ni lipi limefanyika maendeleo yapi? Labda chato
Nawaomba sana viongozi wa upinzani awamu hii tusilogwe wala kukubali huyu mtu aachwe tena naomba itangazwe operesheni ya kumn'goa madarakani kisheria
Hatugopi chochote alimradi tusivunje sheria tu
[HASHTAG]#Hatutaki[/HASHTAG] [HASHTAG]#udikteta[/HASHTAG] [HASHTAG]#wako[/HASHTAG]
 
Shida wa Tz Tuna Piga Sana Kelele Katika Mitandao Ila Linapo Kuja Swala La Kupinga Kitu Kwa Maandamano Hakuna Hata Mmoja Wa Kusubutu
 
Kweli hili ni VUVUZELA alichokiongea hapo hafananii na uwezo wa elimu aliyonayo. Nenda jimboni kwako ukashughulikie shida za wananchi wa jimboni kwako. Sasa muda wa kuropoka ulishapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…