kisepi
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 2,066
- 991
Tunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee.
Ahsanteni sana 🐼
Tunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee.
Ahsanteni sana 🐼
Tanganyika haijavaa koti la muungano, ilipoteza nafasi kama nchi lakini cha kushangaza zanzibar ina jeshi, bendera,katiba mpaka rais lakini tanganyika haina ivyo vyote
Zanzibar haina Jeshi, jeshi ni moja tu TPDF. Usijetutajia wale washika magendo wa KMKM.Basi na Tanganyika itambuliwe kama inavyotambuliwa Zanzibar
Ila pale UNO sasa UN..kwa idadi ya wapigakura Znz ni sawa na ubungo.
..mbunge wa Znz anawakilisha watu wachache sana halafu analipwa mil 18 kwa mwezi sawa na wabunge wa Tanganyika
Wabunge wa Zanzibar ni wachache sana ujue 😂..wewe unazungumzia UN.
..sisi tunazungumzia BUNGE la muungano.
..huu utitiri wa wabunge na wawakilishi ni mzigo ambao walipakodi wanabeba gharama zake.
Kwani Tundu Lissu amekataa Zanzibar kuwa na kiti chake? Lisu anaitaka TanganyikaTunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee.
Ahsanteni sana 🐼
Muungano uvunjwe harakaTanganyika haijavaa koti la muungano, ilipoteza nafasi kama nchi lakini cha kushangaza zanzibar ina jeshi, bendera,katiba mpaka rais lakini tanganyika haina ivyo vyote
Ila pale UNO sasa UN
Wabunge wa Zanzibar ni wachache sana ujue 😂
Heri mkae kimya tu 🐼
Pia mleta mada unapaswa kujua kuwa kabla ya 1964 Tanganyika ilikuwa na kiti chake UN.Tunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee.
Ahsanteni sana 🐼
Tanganyika itatuongezea nini zaidi ya tulichonacho sasaKwani Tundu Lissu amekataa Zanzibar kuwa na kiti chake? Lisu anaitaka Tanganyika
Tunataka muungano wenye usawa ama selikari3 au moja Zanzibar ife kama TanganyikaTunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee.
Ahsanteni sana 🐼
Hata Tanganyika haina jeshi.Zanzibar haina Jeshi, jeshi ni moja tu TPDF. Usijetutajia wale washika magendo wa KMKM.
Kwani antimatter kutotambuliwa Tanganyika kunakupunguzia nini wewe?
Where is Tanganyika?Tanganyika na Zanzibar zote hazitambuliki UN wala FIFA 😂
Kwani mimi nimekuambia naitaka Tanganyika? Ya kazi gani? Nimeishi na kusoma Tanzania mpaka nimestaafu, kuniambia leo eti nikomaze msuli kudai Tanganyika kwangu ni IRRELEVANTHata Tanganyika haina jeshi.
TPDF ni ya Tanzania.
Leteni hoja zenye mashiko
Zanzibar haiwezi kufa, lazima ibakie kwa identity yake. Serikali 3 ni njia ya kuvunja MuunganoTunataka muungano wenye usawa ama selikari3 au moja Zanzibar ife kama Tanganyika
CAF ?Tanganyika na Zanzibar zote hazitambuliki UN wala FIFA 😂
NdiyoKwani Tanganyika haikuwa na Kiti?
Lile ni jeshi mkuu, mbona tanganyika hakuna jeshi kama lile?Zanzibar haina Jeshi, jeshi ni moja tu TPDF. Usijetutajia wale washika magendo wa KMKM.
Kwani antimatter kutotambuliwa Tanganyika kunakupunguzia nini wewe?
Ikiwezekana huu muungano unatunyonya tanganyika watu hawajachangia chochote lakini wanataka gawio sasa huo si uwendawazimuMuungano uvunjwe haraka
Kwani wamejileta tu bila Sheria mliyopitisha mnaojiita Watanganyika? 🐼..wakati Znz ina kiti chake UN hawakuwa na utitiri wa wabunge na wawakilishi kama sasa hivi.
Hata CAF hazitambulikiCAF ?