Tundu Lissu asisahau 1964 Zanzibar ilikuwa na Kiti chake UN sawa na Tanganyika

Kwani mimi nimekuambia naitaka Tanganyika? Ya kazi gani? Nimeishi na kusoma Tanzania mpaka nimestaafu, kuniambia leo eti nikomaze msuli kudai Tanganyika kwangu ni IRRELEVANT
Wewe hutaki, ni sawa, tulia.

Sisi wengi tunaitaka Tanganyika, pamoja na serikali 3. Na wazanzibar wengi pia wanataka serikali 3..

Haiwezekani kikundi cha watu wachache kilazimishe umma kufuata mfumo wa hovyo milele
 
Wewe hutaki, ni sawa, tulia.

Sisi wengi tunaitaka Tanganyika, pamoja na serikali 3. Na wazanzibar wengi pia wanataka serikali 3..

Haiwezekani kikundi cha watu wachache kilazimishe umma kufuata mfumo wa hovyo milele
Unazo takwimu za hao unaoita wachache? Ziweke hapa
 
Unazo takwimu za hao unaoita wachache? Ziweke hapa
Tafuta Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba usome, imesheheni maoni ya wananchi walio wengi.

Kwa sasa kuna option tatu tu:-
1. Serikali 3
2. Serikali 1
3. Kuvunja

Mfumo batili wa serikali 2 upo kwa shuruti tu kinyume na matakwa ya wananchi wengi, na hii siyo endelevu
 
Tafuta Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba usome, imesheheni maoni ya wananchi walio wengi.

Kwa sasa kuna option tatu tu:-
1. Serikali 3
2. Serikali 1
3. Kuvunja

Mfumo batili wa serikali 2 upo kwa shuruti tu kinyume na matakwa ya wananchi wengi, na hii siyo endelevu
Hata kutawaliwa na Serikali siyo hiari ya wananchi bali ni shuruti tu. Nani ka kuambia kuwa maoni ya Tume ya Warioba ndiyo mwarobaini? Hivi unajuwa utasabahisha damage kiasi gani kwa hizo options zako?
 
Back
Top Bottom