Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

No it cant be.....Isango nithibitishie please kama nilichoambiwa na mtu aliyeko mahakamani ni kweli.Hapana au ninaota?
 
Hoja ya kwanza na ya pili zimepanguliwa,jaji anasoma hoja ya tatu.
"Eneo pekee usilotakiwa kuogopa ni mlango wa jehanamu ya moto maana unapokua hapo mahali hauna tena uchaguzi isipokuwa kifo"-Prof.Baregu,2010.
Kauli hii ya kimapinduzi ina maana sana kwa makamanda wote wanaofuatilia hii theread leo..tuishinde hofu,leo,hatuna uthibiti na hukumu inayosomwa ispokuwa kiuisikiliza kwa ushapavu na ujasiri.
 
Godii ni mwanamapinduzi lazima aliwamaliza hawa magamba mashaidi walikuwa vilaza kweli hata kwa ku double course work na mark up test lazima wa disco
 
Hoja ya kwanza na ya pili zimepanguliwa,jaji anasoma hoja ya tatu.
"Eneo pekee usilotakiwa kuogopa ni mlango wa jehanamu ya moto maana unapokua hapo mahali hauna tena uchaguzi isipokuwa kifo"-Prof.Baregu,2010.
Kauli hii ya kimapinduzi ina maana sana kwa makamanda wote wanaofuatilia hii theread leo..tuishinde hofu,leo,hatuna uthibiti na hukumu inayosomwa ispokuwa kiuisikiliza kwa ushapavu na ujasiri.
Asante kamanda!!

 
Kaka tupo pamoja huku A-town, at least unatupa updates za kila hoja kuliko Isango ambae leo ametokomea.
 
Wewe nawe ni kuthibitisha sio kudhibitisha kudhibitisha na kuthibitisha ni maneno mawili tofauti kabisa. Halafu mnajiita Watanzania hata kiswahili kinawapiga chenga nna mashaka sana uzalendo wa watu kama wewe.

Kafungue thread yako kwenye jukwaa la lugha kule usimkatishe tamaa kamanda anayetupa kinachoendelea.

My take:
Mkuu Nicas ignore this fool!
 
Hoja ya kwanza na ya pili zimepanguliwa,jaji anasoma hoja ya tatu.
"Eneo pekee usilotakiwa kuogopa ni mlango wa jehanamu ya moto maana unapokua hapo hauna tena uchaguzi(option) isipokuwa kifo"-Prof.Baregu,2010.
Kauli hii ya kimapinduzi ina maana sana kwa makamanda wote wanaofuatilia thread hii leo..tuishinde hofu,leo,hatuna tena udhibiti juu ya karatasi za hukumu ya Jaji isipokuwa kuisikiliza kwa ushapavu na ujasiri.
 
No it cant be.....Isango nithibitishie please kama nilichoambiwa na mtu aliyeko mahakamani ni kweli.Hapana au ninaota?
Hapana nini sasa? utapataje jibu hapo ilihali Isango mwenyewe hujamwambia hapana nini?
 
Back
Top Bottom