Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,039
- 3,879
Unaisi serikali hii yenye nguvu ya kununua wabunge ingeshindwa kumnunua uyoo dereva aseme kuwa waliofanya ni chadema waache kuzunguka ili tukio lilipangwa na wakubwa wa hii nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naongelea ushahidi bila mashaka.
Naongelea hoja ya kutodhurika kwa dereva.
Naongelea hoja ya tuhuma kuwa dereva anaweza kuwa alihusika au anawajua ila anaogopa kuwataja kwa kuogopa usalama wa familia yake baada ya mission kufeli.
Zaidi naongelea kusamehe na kuanza ukurasa mpya hasa kwa familia yake.
Wengependa wawe huru kuendelea kumshukuru Mungu na kuishi kwa amani ya nafsi katika nchi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app