Kuliko nyinyi mnaoenda kununua spoofing machine badala ya kutumia hizo hela kutekeleza ahadi zenu?R.B,
Umeandika vyema lakini nakuomba usikate tamaa kutoa elimu ya uraia humu JF kutokana na majibu dhaifu ya baadhi ya Pro-Chadema JF.
Lissu anawapoteza njia wabunge wa Chadema ni aibu kila kitu akisema Lissu mnakifuata bila kutumia akili zenu mungu katupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia nywele, kumbukeni hapo bungeni amkupelekwa na Tundu Lissu mmetumwa na wapiga kura wenu.
Huyu Liss mnayemfuata kwa upeo wake ni mdogo sana inashangaza mbunge kutumia magazeti ya udaku bungeni kama reference katika kujenga hoja zake halafu ni mwanasheria.
Pole na weekendi,
Inaelekea ilikuwa tamu sana kwako baada ya kukamata mshiko kutoka Lumumba. Ila tatizo umezila zikaisha ndio unakurupuka kuzitetea, ndio maana huna hata muda wa kufanya utafiti wa awali tu kabla ya kuandika. Hapo kwenye red:
1- Kama utakumbuka vizuri baada ya Ujumbe wa Chadema kukutana na Raisi, Baadhi ya mambo yaliletwa tena bungeni kubadilishwa, hii ni kudhibitisha kuwa Maoni ya chadema yalifanyiwa kazi. Hata kama sio yote lakini ya msingi. pia ukumbuke chadema ni watu makini sio watu wa kutaka kila wanachotaka wao kiwe, wanatoa pia fursa kwa wengine nao kusikilizwa, na pia kukubaliana na maamuzi ya pamoja. Hivyo kuendelea na maandamano wakati mambo yameshafanyiwa kazi ni kuleta vurugu, Hilo sio lengo la chadema.
2- Chadema hawafanyi kazi na mtu kwa sababu ya dini yake, wanafanya kazi na mtu kwa kuangalia uwezo, taaluma, nia njema, na uadilifu wake. Udini hapa unatoka wapi? unaweza kuthibitisha kuwa mtei alisema hivyo?
3- Bajeti ya wizara ya kilimo bado haijapitishwa, ndo maana nasema umekurupuka kutetea posho bila kufanya hata utafiti.
4-Wabunge wa chadema sio watoto wadogo wa kuburuzwa na Mh Lissu, ni watu wazima, wenye upeo wa kufikiri na maamuzi binafsi. kusema Lissu anawaambia watoke na wanatoka sio kweli.
R.B,
Umeandika vyema lakini nakuomba usikate tamaa kutoa elimu ya uraia humu JF kutokana na majibu dhaifu ya baadhi ya Pro-Chadema JF.
Lissu anawapoteza njia wabunge wa Chadema ni aibu kila kitu akisema Lissu mnakifuata bila kutumia akili zenu mungu katupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia nywele, kumbukeni hapo bungeni amkupelekwa na Tundu Lissu mmetumwa na wapiga kura wenu.
Huyu Liss mnayemfuata kwa upeo wake ni mdogo sana inashangaza mbunge kutumia magazeti ya udaku bungeni kama reference katika kujenga hoja zake halafu ni mwanasheria.
halafu hawa ndio wanataka kupewa nchi, watu si watapigwa risasi hadharani kwa visasi
R.B,
Umeandika vyema lakini nakuomba usikate tamaa kutoa elimu ya uraia humu JF kutokana na majibu dhaifu ya baadhi ya Pro-Chadema JF.
Lissu anawapoteza njia wabunge wa Chadema ni aibu kila kitu akisema Lissu mnakifuata bila kutumia akili zenu mungu katupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia nywele, kumbukeni hapo bungeni amkupelekwa na Tundu Lissu mmetumwa na wapiga kura wenu.
Huyu Liss mnayemfuata kwa upeo wake ni mdogo sana inashangaza mbunge kutumia magazeti ya udaku bungeni kama reference katika kujenga hoja zake halafu ni mwanasheria.
Kuliko nyinyi mnaoenda kununua spoofing machine badala ya kutumia hizo hela kutekeleza ahadi zenu?
aisee this week Tundu Lissu kasababisha posho zenu zimeyumba hapo lumumba hadi imefikia hatua ya kujivua ufahamu namna hii??
Hii nayo ni tamthilia ingine vipi singo ya kuuwa imeishia wapi? Hata Prof Lipumba alisema kuna mashine kutoka China ya kuchapisha kura.
Wewe na huyu unayembeba wote hamjiwezi mtamwelimisha nani ikiwa mpo bure kabisa kuliko Nyumbu?
Kwani kuua mmecha? ili hali damu zimwangizazo ndo nguzo yenu ya kutawala.Pongezi shogaye nyarandu.
Binadamu tumepewa vichwa kwa ajili ya kufikiri na sio kufugia nywele.
Mmempiga mawe ya kichwa kijana wa watu mpaka kapoteza maisha damu yake inaanza kuwatafuna kila siku mnazidi kuropoka hovyo.
Mkuu kwa hiyo wewe unakula posho yako taratibu kutoka Makao Makuu ya Chadema pale Kindondoni mtaa wa Ufipa.